Vilio vya wafanyakazi wa Mount Meru Hotel - Arusha

Wana Jamii

Member
Sep 10, 2020
16
3
Mhe. Mkuu wa Mkoa - Arusha,

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel, tunaleta malalamiko yetu kwa ujumla kutokana na adha tunayoipata kutoka kwa mwajiri wetu.

Adha hii tunayoipata ilianza mnamo mwezi wa Aprili 2, 2020 pale tulipolazimishwa wafanyakazi 163 kuchukuwa likizo isiyo na malipo kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Uamuzi huu haukuwa umewashirikisha wafanya kazi wenyewe bali yalikuwa ni maagizo ya uongozi wa hoteli ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kusaini barua.

Kutokana na hatua hii, wafanyakazi tulilazimika kuondoka na kurejea majumbani kwetu tukiwa hatujui nini hatma mstakabali wetu kutokana na barua hiyo kueleza kuwa wafanyakazi watatakiwa kurejea kazini kuanzaia Julai 1, 2020.

Mnamo mwishoni mwa mwezi wa tano ikiwa ni miezi miwili tangu tuanze kutumikia likizo isiyo na malipo, tulipokea wito wa kikao kilichofanyika mnamo tarehe 26 Mei 2020. Wafanyakazi tulifika katika kikao hicho kilichokuwa kikiongozwa na Mkurugenzi mwenyewe.

Baada ya majadiliano ya muda mrefu, Mkurugenzi aliagiza tume ya wafanyakazi ikae na uongozi wa hoteli ili kupata mapendekezo ya wafanyakazi.

Baada ya kamati teule kukaa, mnamo tarehe 9 Juni 2020 kulikuwa na kikao na mkurugenzi ili kupata mrejesho wa mapendekezo ya kamati. Maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Kwa kuwa maamuzi ya awali yalionekana ni batili, mkurugenzi aliazimia kuwalipa fedha taslim shilingi Laki tano (500,000) kila mmoja kwa wafanyakazi wote waliokuwa likizo pasipo malipo kwa mwezi Aprili na Mei. Malipo haya yalifanyika siku hiyo hiyo na wafanyakazi tulipewa pesa taslim mkononi.
  • Malipo ya asilimia 50% kwa wafanyakazi wa ngazi ya chini, asilimia 40% kwa wafanyakazi wa ngazi ya kati, asilimia 30% kwa wafanyakazi wa ngazi ya juu na kiasi cha shilingi elfu hamsini (50,000) kwa wafanyakazi wote watakao kuwa nyumbani kwa miezi mitatu yaani Juni, Julai na Agosti.
Maamuzi haya hayakuwa mazuri sana kwetu sisi wafanyakazi, japokuwa tulikubali ili kumpa unafuu mwajiri wetu. Ajabu ni kuwa hata sisi tuliobaki kazini, hatukuwahi kupata mshahara zaidi ya kulipwa kwa siku kama kibarua.

Miezi mitatu baada ya maamuzi ya tarehe 9 Juni 2020, wafanyakazi tulipokea wito wa kikao ambacho kilifanyika mnamo tarehe 29 Agosti 2020. Wafanyakazi tuliitikia wito huo. Katika kikao hiki maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Mzunguko wa wafanyakazi kuingia kazini kila mwezi kuanzia Septemba 2020 hadi Aprili 2021 kuruhusu kila mfanyakazi kupata nafasi ya kupata angalau kipato kidogo kwa asilimia kama ifuatavyo:
  • Asilimia 50% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya chini
  • Asilimia 40% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya kati na
  • Asilimia 30% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya juu
  • Wafanyakazi watakaokuwa kwenye mzunguko wa kuwa nyumbani hawatalipwa mshahara bali kampuni itawachangia kiasi cha shilingi laki moja (100,000) kwa ajili ya kujikimu kuanzia mwezi septemba 2020 hadi Aprili 2021. Kiwango hiki kitaambatana na mchango wa asilimia 20% itakayo kwenda kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF). Kiwango hiki cha asilimia 20% kitatokana na makato ya asilimia 10% kutoka kwa mwajiri na asilimia nyingine 10% ni mchango kutoka kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa. Hivyo Mfanyakazi atapata shs. 90,000?=
Mh. Mkuu wa Mkoa, kinacho tusikitisha zaidi ni haya maamuzi ya uongozi wa hoteli yaliyotolewa kwetu sisi wafanyakazi hasa ukizingatia kuwa tumekuwa wavumilivu kiasi cha kutosha ili hali mwajiri wetu akizidi kutukandamiza.

Hali ya kibiashara inazidi kutengemaa siku hadi siku hasa ukizingatia kipindi hiki cha miezi mitatu iliyopita ( Juni – Agosti)

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel tunaomba msaada wako hasa tukizingatia kuwa serikali yetu imekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi yetu sisi wananchi wa hali ya chini.

Mwisho kabisa tukutakie utendaji kazi wako mzuri na tunategemea utalitatua suala hili.

Wako,

Wafanyakazi wa Mount Meru Hotel.
 

Attachments

  • Barua ya August 2.jpg
    Barua ya August 2.jpg
    146.1 KB · Views: 11
  • Barua ya August.png
    Barua ya August.png
    98.1 KB · Views: 10
  • Barua ya Juni.jpg
    Barua ya Juni.jpg
    48.8 KB · Views: 9
  • Barua ya March.jpg
    Barua ya March.jpg
    162 KB · Views: 9
Poleniii,
Ila mkuu nisiwe mnafiki, kwa nilichokiona kwa waajiri wengi kipindi cha corona na baada ya corona,
Niseme wazi huyu mwajiri wenu kajitahidi sanaaa, narudia tena sanaa.

kuna wengine hawakutaka hata kikao ni Mwendo wa Notisi tuuu,
Na ukiangalia wengi wao sio kua wanafanya makusudi kuwaumiza, ila hali zao ni mbaya kiuhalisia...

Ila huyu wenu kawa muungwana...,hasa ukizingatia secta ya hotel mkuu? Tena hotel kama hiyo inayotegemea watalii? Secta ambayo ndio imeathirika kuliko zote?
Mkuu huyu jamaa kajitahidii,

Kuna watu wamepoteza ajira moja kwa moja, hakuna cha mafao wala nini.

Tafuteni lugha nzuri ya kuomba stahiki zenu, ila sio kwa kumlaumu,
Hata mahakamani huyu anachukua point 3 mlangoni,

Ila ngoja tusitumie nguvu, nikuulize, Kwani mzee kilichotokea/kisababishi hukioni?

Wateja hakuna, na hao ndio wanaolipa mishahara yenu na mazaga yote ikiwemo kuipa uhai hotel..Wewe ungefanyaje?

Kama ni asilimia za uungwana kati yenu, Yeye Nampa 99%.

Halafu kwa haraka haraka nimegundua, hio ni moja ya hoteli zinazowalipa wafanyakazi wake vizuri,
Pia nimependa huo mgawanyo wa makato kwa kuzingatia hali za watu,
Mwenye mshahara mdogo anapata 50%, wa kati 40% na wale madoni 30%, More than humanity....

Kwa ufupi inaonesha huyu mwajiri wenu kua fair kwa wafanyakazi wake ndio kumeleta haya matokeo, matokeo yake watu wana demand sana, Hoteli ikifa mkifutwa kazi, nyie nyie ndio mtalalamika tena...
Daaaa

Serikali wangempa mwajiri wa hii hoteli Tuzo, Sijiu ni mbongo, sijui ni mgeni ila Namuona Huyu mwajiri yuleeeee mbinguni..

Ila kweli umaskini unaweza ukawa chanzo kikubwa cha dhambi, na roho mbaya kwa baadhi ya watu zinapandikizwa, sivyo walivyo.

Hembu jaribu ku imagine, huyu mwajiri na jitihada zote hizo, aje aone/sikie bandiko hili kutoka kwa mfanyakazi wake???
 
Mhe. Mkuu wa Mkoa - Arusha,

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel, tunaleta malalamiko yetu kwa ujumla kutokana na adha tunayoipata kutoka kwa mwajiri wetu.

Adha hii tunayoipata ilianza mnamo mwezi wa Aprili 2, 2020 pale tulipolazimishwa wafanyakazi 163 kuchukuwa likizo isiyo na malipo kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Uamuzi huu haukuwa umewashirikisha wafanya kazi wenyewe bali yalikuwa ni maagizo ya uongozi wa hoteli ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kusaini barua.

Kutokana na hatua hii, wafanyakazi tulilazimika kuondoka na kurejea majumbani kwetu tukiwa hatujui nini hatma mstakabali wetu kutokana na barua hiyo kueleza kuwa wafanyakazi watatakiwa kurejea kazini kuanzaia Julai 1, 2020.

Mnamo mwishoni mwa mwezi wa tano ikiwa ni miezi miwili tangu tuanze kutumikia likizo isiyo na malipo, tulipokea wito wa kikao kilichofanyika mnamo tarehe 26 Mei 2020. Wafanyakazi tulifika katika kikao hicho kilichokuwa kikiongozwa na Mkurugenzi mwenyewe.

Baada ya majadiliano ya muda mrefu, Mkurugenzi aliagiza tume ya wafanyakazi ikae na uongozi wa hoteli ili kupata mapendekezo ya wafanyakazi.

Baada ya kamati teule kukaa, mnamo tarehe 9 Juni 2020 kulikuwa na kikao na mkurugenzi ili kupata mrejesho wa mapendekezo ya kamati. Maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Kwa kuwa maamuzi ya awali yalionekana ni batili, mkurugenzi aliazimia kuwalipa fedha taslim shilingi Laki tano (500,000) kila mmoja kwa wafanyakazi wote waliokuwa likizo pasipo malipo kwa mwezi Aprili na Mei. Malipo haya yalifanyika siku hiyo hiyo na wafanyakazi tulipewa pesa taslim mkononi.
  • Malipo ya asilimia 50% kwa wafanyakazi wa ngazi ya chini, asilimia 40% kwa wafanyakazi wa ngazi ya kati, asilimia 30% kwa wafanyakazi wa ngazi ya juu na kiasi cha shilingi elfu hamsini (50,000) kwa wafanyakazi wote watakao kuwa nyumbani kwa miezi mitatu yaani Juni, Julai na Agosti.
Maamuzi haya hayakuwa mazuri sana kwetu sisi wafanyakazi, japokuwa tulikubali ili kumpa unafuu mwajiri wetu. Ajabu ni kuwa hata sisi tuliobaki kazini, hatukuwahi kupata mshahara zaidi ya kulipwa kwa siku kama kibarua.

Miezi mitatu baada ya maamuzi ya tarehe 9 Juni 2020, wafanyakazi tulipokea wito wa kikao ambacho kilifanyika mnamo tarehe 29 Agosti 2020. Wafanyakazi tuliitikia wito huo. Katika kikao hiki maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Mzunguko wa wafanyakazi kuingia kazini kila mwezi kuanzia Septemba 2020 hadi Aprili 2021 kuruhusu kila mfanyakazi kupata nafasi ya kupata angalau kipato kidogo kwa asilimia kama ifuatavyo:
  • Asilimia 50% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya chini
  • Asilimia 40% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya kati na
  • Asilimia 30% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya juu
  • Wafanyakazi watakaokuwa kwenye mzunguko wa kuwa nyumbani hawatalipwa mshahara bali kampuni itawachangia kiasi cha shilingi laki moja (100,000) kwa ajili ya kujikimu kuanzia mwezi septemba 2020 hadi Aprili 2021. Kiwango hiki kitaambatana na mchango wa asilimia 20% itakayo kwenda kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF). Kiwango hiki cha asilimia 20% kitatokana na makato ya asilimia 10% kutoka kwa mwajiri na asilimia nyingine 10% ni mchango kutoka kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa. Hivyo Mfanyakazi atapata shs. 90,000?=
Mh. Mkuu wa Mkoa, kinacho tusikitisha zaidi ni haya maamuzi ya uongozi wa hoteli yaliyotolewa kwetu sisi wafanyakazi hasa ukizingatia kuwa tumekuwa wavumilivu kiasi cha kutosha ili hali mwajiri wetu akizidi kutukandamiza.

Hali ya kibiashara inazidi kutengemaa siku hadi siku hasa ukizingatia kipindi hiki cha miezi mitatu iliyopita ( Juni – Agosti)

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel tunaomba msaada wako hasa tukizingatia kuwa serikali yetu imekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi yetu sisi wananchi wa hali ya chini.

Mwisho kabisa tukutakie utendaji kazi wako mzuri na tunategemea utalitatua suala hili.

Wako,

Wafanyakazi wa Mount Meru Hotel.
Mleta mada kwa hali hii iliyosababishwa na CORONA wewe binafsi ushauri wako kwa mwajiri ni nini?
 
Poleniii,
Ila mkuu nisiwe mnafiki, kwa nilichokiona kwa waajiri wengi kipindi cha corona na baada ya corona,
Niseme wazi huyu mwajiri wenu kajitahidi sanaaa, narudia tena sanaa.

kuna wengine hawakutaka hata kikao ni Mwendo wa Notisi tuuu,
Na ukiangalia wengi wao sio kua wanafanya makusudi kuwaumiza, ila hali zao ni mbaya kiuhalisia..

Kuna watu wamepoteza ajira moja kwa moja, hakuna cha mafao wala nini.

Dai haki yenu ndio, ila msifadhaike sana, mwajiri wenu kajitahidi.
Umesema ukweli.

Kwa sisi tunaofahamu biashara ya mahoteli na utalii kwa ujumla, huyu muajiri wa Mt Meru ni muungwana sana kwa kuthubutu kuwalipa hata hicho kidogo kipindi hiki cha Corona, mshukuruni sana Mungu.

Wasinung'unike wala wasilazimishe, ila waombe kwa unyenyekevu kama kuna uwezekano wa kuongezewa malipo.
 
Mhe. Mkuu wa Mkoa - Arusha,

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel, tunaleta malalamiko yetu kwa ujumla kutokana na adha tunayoipata kutoka kwa mwajiri wetu.

Adha hii tunayoipata ilianza mnamo mwezi wa Aprili 2, 2020 pale tulipolazimishwa wafanyakazi 163 kuchukuwa likizo isiyo na malipo kwa muda wa miezi mitatu mfululizo. Uamuzi huu haukuwa umewashirikisha wafanya kazi wenyewe bali yalikuwa ni maagizo ya uongozi wa hoteli ikiwa ni pamoja na kulazimishwa kusaini barua.

Kutokana na hatua hii, wafanyakazi tulilazimika kuondoka na kurejea majumbani kwetu tukiwa hatujui nini hatma mstakabali wetu kutokana na barua hiyo kueleza kuwa wafanyakazi watatakiwa kurejea kazini kuanzaia Julai 1, 2020.

Mnamo mwishoni mwa mwezi wa tano ikiwa ni miezi miwili tangu tuanze kutumikia likizo isiyo na malipo, tulipokea wito wa kikao kilichofanyika mnamo tarehe 26 Mei 2020. Wafanyakazi tulifika katika kikao hicho kilichokuwa kikiongozwa na Mkurugenzi mwenyewe.

Baada ya majadiliano ya muda mrefu, Mkurugenzi aliagiza tume ya wafanyakazi ikae na uongozi wa hoteli ili kupata mapendekezo ya wafanyakazi.

Baada ya kamati teule kukaa, mnamo tarehe 9 Juni 2020 kulikuwa na kikao na mkurugenzi ili kupata mrejesho wa mapendekezo ya kamati. Maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Kwa kuwa maamuzi ya awali yalionekana ni batili, mkurugenzi aliazimia kuwalipa fedha taslim shilingi Laki tano (500,000) kila mmoja kwa wafanyakazi wote waliokuwa likizo pasipo malipo kwa mwezi Aprili na Mei. Malipo haya yalifanyika siku hiyo hiyo na wafanyakazi tulipewa pesa taslim mkononi.
  • Malipo ya asilimia 50% kwa wafanyakazi wa ngazi ya chini, asilimia 40% kwa wafanyakazi wa ngazi ya kati, asilimia 30% kwa wafanyakazi wa ngazi ya juu na kiasi cha shilingi elfu hamsini (50,000) kwa wafanyakazi wote watakao kuwa nyumbani kwa miezi mitatu yaani Juni, Julai na Agosti.
Maamuzi haya hayakuwa mazuri sana kwetu sisi wafanyakazi, japokuwa tulikubali ili kumpa unafuu mwajiri wetu. Ajabu ni kuwa hata sisi tuliobaki kazini, hatukuwahi kupata mshahara zaidi ya kulipwa kwa siku kama kibarua.

Miezi mitatu baada ya maamuzi ya tarehe 9 Juni 2020, wafanyakazi tulipokea wito wa kikao ambacho kilifanyika mnamo tarehe 29 Agosti 2020. Wafanyakazi tuliitikia wito huo. Katika kikao hiki maamuzi yalikuwa kama ifuatavyo:-

  • Mzunguko wa wafanyakazi kuingia kazini kila mwezi kuanzia Septemba 2020 hadi Aprili 2021 kuruhusu kila mfanyakazi kupata nafasi ya kupata angalau kipato kidogo kwa asilimia kama ifuatavyo:
  • Asilimia 50% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya chini
  • Asilimia 40% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya kati na
  • Asilimia 30% kwa wafanyakazi wenye mshahara wa ngazi ya juu
  • Wafanyakazi watakaokuwa kwenye mzunguko wa kuwa nyumbani hawatalipwa mshahara bali kampuni itawachangia kiasi cha shilingi laki moja (100,000) kwa ajili ya kujikimu kuanzia mwezi septemba 2020 hadi Aprili 2021. Kiwango hiki kitaambatana na mchango wa asilimia 20% itakayo kwenda kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF). Kiwango hiki cha asilimia 20% kitatokana na makato ya asilimia 10% kutoka kwa mwajiri na asilimia nyingine 10% ni mchango kutoka kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa. Hivyo Mfanyakazi atapata shs. 90,000?=
Mh. Mkuu wa Mkoa, kinacho tusikitisha zaidi ni haya maamuzi ya uongozi wa hoteli yaliyotolewa kwetu sisi wafanyakazi hasa ukizingatia kuwa tumekuwa wavumilivu kiasi cha kutosha ili hali mwajiri wetu akizidi kutukandamiza.

Hali ya kibiashara inazidi kutengemaa siku hadi siku hasa ukizingatia kipindi hiki cha miezi mitatu iliyopita ( Juni – Agosti)

Sisi wafanyakazi wa Mount Meru Hotel tunaomba msaada wako hasa tukizingatia kuwa serikali yetu imekuwa mstari wa mbele katika kutetea maslahi yetu sisi wananchi wa hali ya chini.

Mwisho kabisa tukutakie utendaji kazi wako mzuri na tunategemea utalitatua suala hili.

Wako,

Wafanyakazi wa Mount Meru Hotel.
Sijaona sababu ya Kulalamika yani badala umshukuru Tajiri mnalalamika mlitaka awasaidiaje wakati biashara hakuna Mahoteli Mengine yote wafanyakazi hawajalipwa hela hata kidogo ! Kama Arusha Hotel waliwapa wafanyakazi likizo bila malipo baada ya muda wakapunguza wafanyakazi Zaidi ya 60 , Sopa Lodges zimefungwa wafanyakazi wako nyumbani hawalipwi hata sh 10 nyie mmesaidiwa bado mnalalamika , wakati unajua kabisa Corona ndo imesababisha mambo yote hayo ! Jitafakari
 
Poleniii,
Ila mkuu nisiwe mnafiki, kwa nilichokiona kwa waajiri wengi kipindi cha corona na baada ya corona,
Niseme wazi huyu mwajiri wenu kajitahidi sanaaa, narudia tena sanaa.

kuna wengine hawakutaka hata kikao ni Mwendo wa Notisi tuuu,
Na ukiangalia wengi wao sio kua wanafanya makusudi kuwaumiza, ila hali zao ni mbaya kiuhalisia...

Tena hotelini mkuu? Tena hotel kama hiyo inayotegemea watalii? Secta ambayo ndio imeathirika kuliko zote?
Mkuu huyu jamaa kajitahidii,

Kuna watu wamepoteza ajira moja kwa moja, hakuna cha mafao wala nini.

Dai haki yenu ndio, ila msifadhaike sana, mwajiri wenu kajitahidi...

Namuona Huyu mwajiri yuleeeee mbinguni....
Hawa jamaa washukuru sana mwajiri wao ni mtu muelewa hotel ngapi zimefungwa kabisa na hazina dalili yakufunguliwa. Ngurdoto Kule wanafugia ndege tu pamefungwa . Impala imekufa kabisa . Bora kidogo kuliko kukosa kabisa
 
Aisee nyie mnaolalamika hata RC akienda hapo anaweza akawafukuza wote! Huyo mwajiri wenu pamoja na shida yote hii ya biashara bado anawapa angalau percent fulani! Huyo ni mtu na nusu haki!!

Hamna adabu kabisa, au mnafikiri serikali haijui sekta ya utalii ilivyoharibika kwa ukosefu wa biashara? Akili zenu sijui zina matope!
 
Kiukweli, wafanyakazi wa mahotelini wamenyanyasika sana kipindi ichi tangu janga la corona kuingia.

Yaani unakuta hoteli kwa mwaka wanatengeza net profit ya milioni zaidi ya 100 lakini kulipa wafanyakazi wake hata likizo inasingizia covid. Huku Zanzibar ndio vilio vimejaa.
 
Kiukweli, wafanyakazi wa mahotelini wamenyanyasika sana kipindi ichi tangu janga la corona kuingia.

Yaani unakuta hoteli kwa mwaka wanatengeza net profit ya milioni zaidi ya 100 lakini kulipa wafanyakazi wake hata likizo inasingizia covid. Huku Zanzibar ndio vilio vimejaa.

Kwa maelezo ya mleta mada mwajiri wao aliwalipa 500k kila staff wakati wapo likizo. Yaani tajiri amewalipa zaidi ya 80M wakati hakuwa anazalisha na bado anawapa chochote walioko nyumbani. Baada ya yote hayo tajiri analaumiwa really!! Huyu tajiri ni muunngwana sana na wamshukuru kwa hilo. Waulize mahotel mengine nini kinaendelea
 
Poleniii,
Ila mkuu nisiwe mnafiki, kwa nilichokiona kwa waajiri wengi kipindi cha corona na baada ya corona,
Niseme wazi huyu mwajiri wenu kajitahidi sanaaa, narudia tena sanaa.

kuna wengine hawakutaka hata kikao ni Mwendo wa Notisi tuuu,
Na ukiangalia wengi wao sio kua wanafanya makusudi kuwaumiza, ila hali zao ni mbaya kiuhalisia...

Tena hotelini mkuu? Tena hotel kama hiyo inayotegemea watalii? Secta ambayo ndio imeathirika kuliko zote?
Mkuu huyu jamaa kajitahidii,

Kuna watu wamepoteza ajira moja kwa moja, hakuna cha mafao wala nini.

Dai haki yenu ndio, ila msifadhaike sana, mwajiri wenu kajitahidi...

Namuona Huyu mwajiri yuleeeee mbinguni....
Mwajiri kajitahidi sana. Mimi ni mmoja wa waliopoteza Ajira kwenye Hotel ya 5 star hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom