bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Wadau ule mradi wa Viwanja Wilaya ya Ilemele Jijinj Mwanza,East Buswelu.
Malipo yapo awamu ya pili kwa sasa,je viliuzwa vyote au kuna vilivyobakia?na waliochukua fomu wakashindwa kurudisha(down payment) imekula kwao?
Malipo yapo awamu ya pili kwa sasa,je viliuzwa vyote au kuna vilivyobakia?na waliochukua fomu wakashindwa kurudisha(down payment) imekula kwao?