VILE "visit Rwanda" inanizinguaga

Daaah!
 
Huwezi kumuita mchapa kazi boga. Huyu waziri aliyopo ni wakupewa big up kuliko wengine wote tangia uhuru sababu sasa hivi kila kukicha anavuta tuzo mpya kuja Tanzania, mara best safari coutry, mara serengeti best park in the world, sasa hivi miaka kadhaa mfululizo matuzo yaliokuwa yanaenda Kenya yanakuja Tanzania. Hebu weka tuzo moja huyo uliyemtaja aliwahi kuleta. Kisha uje nikukabidhi tuzo la boga kuu.
 
Mbona tukitangaza huwa husemi Rwanda wanafeli wapi?
 
Wasanii uchwara? Wasio uchwara ni wapi?
 
Mara phones zinatengenezwa na Atlas Mara kampuni kubwa toka Botswana i guess.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…