Vile mashauzi yalivyoniumbua

Vile mashauzi yalivyoniumbua

Obviously una tako kubwa Carleen, halafu ulivyosema unatoka duniani nikahisi ni huko kwa wenzetu. Tena ukasema umefungua geti, hawa jamaa wa jf hata ukiishi nyumba yenye fence na geti wao hawaishi kuhoji😂😂😂natania tu!

Pole sana, Ila funzo umelipata na kutukumbusha wengine.
 
Pole mkuu, Kuna harusi nilihudhuria miezi 2 iliyopita, sasa MC kaita mdada aliyependeza

Nmefurahi cheko kama la mr bean ahsante kwa niaba , pongezi kwetu. Wadada wengi huwa wanapuuza wakisemeshwa njiani kwa sababu ya usumbufu lakini ni muhimu sana kumsikiliza mtu kama ataongea utopolo unageuza shingo unaendelea kuprint.
 
Nmefurahi cheko kama la mr bean ahsante kwa niaba , pongezi kwetu. Wadada wengi huwa wanapuuza wakisemeshwa njiani kwa sababu ya usumbufu lakini ni muhimu sana kumsikiliza mtu kama ataongea utopolo unageuza shingo unaendelea kuprint.
Niliacha kabisa utoto,, sikuumbuka km mtoa mada ila vitukio vidogo dogo au ya wanawake wenzangu yalinitia adabu,, mshukuriwe sana wanaume mnatuokoaga na hizi aibu Basi tu viburi vya uzima ndo vinatuponzaga
 
Obviously una tako kubwa Carleen, halafu ulivyosema unatoka duniani nikahisi ni huko kwa wenzetu. Tena ukasema umefungua geti, hawa jamaa wa jf hata ukiishi nyumba yenye fence na geti wao hawaishi kuhoji😂😂😂natania tu!

Pole sana, Ila funzo umelipata na kutukumbusha wengine.
Haha..
Hapana mtumishi wa Bwana.! Sisi ni wale tulianguka bafuni, basii tu ilikuwa mashauzi..
 
Back
Top Bottom