Vikwazo vya maendeleo katika nchi yetu ni...

Kikwazo kikubwa ni ubinafsi. Viongozi wanaangalia matumbo yao, wanagombea nafasi sio kuwatumikia wananchi bali kuchukua kodi zao na mali zao kwa maslahi binafsi. Angalia Mkapa, EL , JK et al. Wanaangalia zaidi matumbo yao wanapata ngapi kwa kujineemesha siyo kuwasaidia wale waliowaweka na kuwakwamua katika matatizo yao ingawaje hivi sasa wana fweza tele ambazo wataziacha hapa duniani baada ya kufa kwao. Ndio wenye mawazo yaliyofilisika.

KWANI mila za kiafrika au makabila mbalimbali tuliyo nayo zinasemaje kuhusu tabia kama hizi? Endapo kiongozi wa kijadi enzi zileeee angafanya ubinafsi kama hivi, jamii ingemchukulia je?
 
unasema huna dini, lakini kila nikisoma maandishi yako naona unayo dini!!!!!!!!! labda kama hujui maana ya neno "dini"................... hao waliokujaa ubongoni mwako ndio manabii wako na miungu yako na mawazo yao ndiyo unayoabudu............. tena inaonekana wewe ni muumini mbaya sana kwa sababu unaabudu miungu mingi iliyo wandamu kama wewe bila kujijua ................yaani unaabudu (unconciously)....................... halafu ukilala njaa due to your own underdevelopment and unfaithfulness unasema tatizo ni Mungu asiye mwanadamu (anayeabudiwa na kutukuzwa kama Mungu mwenyezi) na huoni kama miungu wanadamu (wako) nayo waeza kuwa tatizo....................

kumbuka, hata chakula hakimsaidii mtu mara tu kinapomezwa bali kinahitaji kumeng'enywa na kufyonzwa tumbon ili kiingie kwenye mfumo wa metabolism kabla hakijamfaidia aiyekila kwa kuboresha afya yake................. nawe unaposoma mawazo ya hiyo miungu yako itafakari kwanza ili upate manufaa (kama yamo) ............otherwise ninachoweza kukusaidia kwa sasa ni kukukumbusha kuwa kipofu akimwongoza kipofu mwingine wotw wawili watatumbuka shimoji....................

nawasilisha..................

Mimi siwezi kuwa naabudu "dini" ya sayansi, kwa sababu kanuni ya kwanza katika sayansi ni kwamba hakuna kuabudu. Siwezi kuwa naabudu sayansi kwa sababu najua kwamba sayansi iko fallible, na ukishajua kwamba kitu kiko fallible huwezi kuwa unakiabudu. Siwezi kuwa naabudu sayansi kwa ababu sayansi iko testable, na inafanya predictions zinazo i vindicate au kui expose, na mara nyingine inakosea .Kwa hiyo hamna ibada hapa, ni reason tupu.

Mnaoabudu ni nyie wenye dini, mnaoamini kwamba mungu/ papa yuko infallible.

Ndiyo maana mpaka leo mvua zisiponyesha, badala ya kupanga mikakati ya kilimo cha umwagiliaji, tunaanza kudanganyana mambo ya kwenda makanisani na misikitini kuomba mungu mvua inyeshe.

Yaani hamna tofauti na watu walioishi 5000 B.C.
 
Unaifahamu Black Death ni nini? Unajua tofauti ya Black Death na hivyo "vifo vya misimu" (whatever that means) ?

Italy na Spain wana huge numbers amongst their population, unajua positions za Italy na Spain katika nchi zilizoendelea iko wapi? If anything una prove point yangu tu, kwa sababu hata katika nchi zilizoendelea, hizi Italy na Spain ndizo zinaongoza katika dini na ndizo zinshika mkia kimaendeleo.

Halafu hata huko Italy na Spain dini zinafifia, wanapata matatizo ku recruit priests. Zamani kuwa priest ilikuwa ni njia mojawapo ya ku escape poverty, lakini siku hizi hali si mbaya sana relatively speaking hawawapati. In any case Italy kanisa ni kama utamaduni zaidi kuliko dini per se, wtu wanaenda kanisani kuangalia mapambo, stained glass, kujumuika etc zaidi kuliko kufuata dini. Ni kma social club fulani hivi.

And this brings us to another point, waafrik ku flock makanisani na misikitini inaweza kukawa kunatokna sana na umasikini na kutafuta group therapy.

Hiyo figure ya 80% of theorist duniani ni "waisraeli" umeitoa wapi? Waisraeli wako about milioni sita, for sure milioni kumi hawajafika, hata ukimfanya kila mama baba na mtoto wa kiisraeli awe muumini wa mungu na "theorist" (again, I don't know exactly what you mean by this) katika ulimwengu wa watu bilioni 6.7 hawafiki hata 0.1%. Hawa wametoaje 80% ya "theorists", umetoa wapi figure hiyo?Una hakika na unachoongea au unajisemea tu?
Kwa faida yako dont try me in sociology, psychology, social anthropology, social policy or politics nenda kapumzike and i think its about time na mimi ni take time off this forum honestly.

HUKO NTA KUUMIZA its not about reading an article or watching a programme on history channel ndio kujifanya unajua All the theorist you mentioned on earlier post were too behind the industrial revolution or way too out of the era so to spare you some blushes ill let it go quote me again and you're going to get it.
 
Kwa faida yako dont try me in sociology, psychology, social anthropology, social policy or politics nenda kapumzike and i think its about time na mimi ni take time off this forum honestly.

HUKO NTA KUUMIZA its not about reading an article or watching a programme on history channel ndio kujifanya unajua All the theorist you mentioned on earlier post were too behind the industrial revolution or way too out of the era so to spare you some blushes ill let it go quote me again and you're going to get it.

Maneno matupu, mtu mzima hatishiwi nyau, hata mie kama nataka kujisifia ntajisifia tu.

Kwa nini usituonyeshe umahiri wako kwa kujibu hoja? Badili yake unafyata mkia na kutaka kukimbia, wamahiri hwakimbii hoja hata siku moja. Wamahiri hawajifungi kwa kamba zao wenyewe, eti unakuja kuleta mifano ya Italy na Spain, nchi inazo struggle katika chumi za nchi zilizoendelea, halafu ndio unajiita bingwa. At this rate I need not forward any new argument, I will let you hang yourself with your birdbrained halfbaked dilapidated positions.

You told me quote me again and you are going to get it, I not only want to get it, I want you to unleash your full speed.

Your comprehension level obviously leave much to be desired.

Hujaelewa kwamba hao niliowataja wana relevance gani katika argument yangu kwamba kipindi fulani hatukuwa na tofauti sana na Ulaya, ndiyo maana sikuchagua kipindi cha industrial revolution kwa sababu kwa kuchagua kipindi hicho nisingeweza ku argue case yangu, kwa sababu Europe ilikuwa industrialized wakati sisi tulikuwa bado.Jeez, umepewa darasa hujaelewa unataka kupelekwa summer school?

Give the best that you can, for it seems to me gari lako limeishiwa mafut sasa umebakia kusema "usinijaribu kwenye socieology etc etc"

Vipanga hawajisifii, wanaacha watu wawasifie.

Shusha vitu watu waone wakusifie.Sio unaleta ujanja mwingi mbele kiza, una argue bila data, watu waki kuweka on the spot unakuwa mbogo.

Hii JF, hatuendi hivyo.
 
Maneno matupu, mtu mzima hatishiwi nyau, hata mie kama nataka kujisifia ntajisifia tu.

Kwa nini usituonyeshe umahiri wako kwa kujibu hoja? Badili yake unafyata mkia na kutaka kukimbia, wamahiri hwakimbii hoja hata siku moja.

You told me quote me again and you are going to get it, I not only want to get it, I want you to unleash your full speed.

Your comprehension level obviously leave much to be desired.

Hujaelewa kwamba hao niliowataja wana relevance gani katika argument yangu kwamba kipindi fulani hatukuwa na tofauti sana na Ulaya, ndiyo maana sikuchagua kipindi cha industrial revolution kwa sababu kwa kuchagua kipindi hicho nisingeweza ku argue case yangu, kwa sababu Europe ilikuwa industrialized wakati sisi tulikuwa bado.Jeez, umepewa darasa hujaelewa unataka kupelekwa summer school?

Give the best that you can, for it seems to me gari lako limeishiwa mafut sasa umebakia kusema "usinijaribu kwenye socieology etc etc"

Vipanga hawajisifii, wanaacha watu wawasifie.

Shusha vitu watu waone wakusifie.Sio unaleta ujanja mwingi mbele kiza, una argue bila data, watu waki kuweka on the spot unakuwa mbogo.

Hii JF, hatuendi hivyo.
im not here to tutor and im not going to play hide seek let me guess you have run to the other topic what
a chicken.
 
im not here to tutor and im not going to play hide seek let me guess you have run to the other topic what
a chicken.

Kati yangu mie ninayekujibu hoja kwa hoja na wewe unayekuja na mumbo jumbo ambazo I doubt hata kama wewe mwenyewe unazielewa, nani chicken?

Jibu points, sio unaanza kuchomoa pole pole eti "I am not here to tutor"

Wewe si ndiye ulijitia umahiri hapa?

Kiko wapi sasa, tetea umahiri wako.
 
...Sasa mtu eti aje na hoja ya kudai kuwa tulikuwa sawa au kuwazidi kimaendeleo mimi nitamwona kachanganyikiwa tu. Maendeleo ni pamoja na kuamka kifikra na kuwa mwerevu. Sasa ni maendeleo gani hayo tuliyokuwa nayo wakati wenzetu walikuwa werevu zaidi kutushinda sisi?
Ni sawa...KUAMKA KIFIKRA NA KUWA MWEREVU ni sehemu ya maendeleo...ninachosisitiza hapa ni uwezo wa Waafrika wa wakati huo kuishi na kujitegemea kwa kila kitu kulingana na resources walizokuwa nazo, nafikiri nilikuwa nikitofautina na mtoa mada kuwa si kweli kuwa kuegemea mila na desturi ndiko kunakorejesha nyuma maendeleo ya waafrika,na nikaonyesha kuwa ni vipi mila hizo zilichangia kupiga hatua kwa waafrika kabla ya Ukoloni na nini kilipelekea hali hiyo ibadilike,wala usikatae kuwa Afrika ilikuwa na maendeleo ya kiasi cha wakati huo kama alivyosema Dr.Rhodney,ubunifu waliokuwa nao wakati huo uliwaweka mbali kitekinolojia, wakati tekinolojia ya kulima kwa jembe la kukokota kwa n'gombe ilishastawi maeneo ya bonde la mto Nile Afrika,karne nyingi nyuma, kwa wazungu ndo kwnza walikuwa wakitumia jembe la mkono na mapinduzi ya kilimo wakati huo kwao bado.
Ni kweli ili uendelee unahitaji kuamka kifikira,na ndo maana kwa kuwa wazungu walikuwa nyuma kimaendeleo walizituma fikra zao wakiamini kuwa kuendelea kwao kutakuwa ni ndoto iwapo hawatasambaa kutafuta resources za kulisha mifumo yao michanga ya kinyonyaji kwa gharama yoyote ile na ndo maana walilazimika kufanya uharibifu wa kila kitu kupata walichokitaka. Na hii inawezekena kwani historia ya ulimwengu si inaonyesha kuwa maarifa ya watu wa oneo moja yanaweza kushawishi mabadiliko ya msingi ya eneo jingine....kumbuka maneno ya Wilson Churchill na "ukuta wa chuma",na ndo maana dunia imekuwa hapa ilipo leo, mungu bariki vita vya kinyukilia havikupiganwa.
 
Kuna desturi hii ya umoja, kushirikiana kwenye majanga(eg misiba) na kwenye Furaha( Harusi). Hii inaenda mbali zadi kwenye undugu extended family

Mfanokulikuwa na desturi mtoto anakuwa ni wa jamii nzima akifanya kosa anaweza kukanywa au kuadhibiwa. Zipo mila na desturi nyingi.

Kuna Desturi vijijini wachawi, vijana wakorofi walidhibitiwa na kuadhibiwa?( Mfano kutengwa, kufukuzwa) kwa sheria za kimila. Lakini leo hii tumevuruga hata mfumo wa sheria zilizokuwa zinafanya kazi vizuri vijijini.

Matatizo kama ya ya Tarime( Mapanga shasha). Yametokea matatizo ndo serikali inawaita wazee. but wazee wakifanya maamuzi kwenye kijiji wanaambiwa wao sio mahakama.

Mifano iko mingi

Big up mzee umeanza vizuri sana, na mm nataka kuongezea kuna mila na desturi ambazo zilikuwa zikipinga uvivu na wavivu walikuwa hawana nafasi hata kuozeshwa wake, hali kadhalika walitengwa na kuzomewa na jamii na kuonwa kama watu wasio na thamani, hii ilijenga jamii yenye kuwajibika tofauti na tulivyo sasa watu wengi tunabweteka tukisubiri ajira.
 
Nliwahi kumsikia mtu akiitwa mwanafalsafa wa imani za kijamaa na kikoministi, Karl Max, katika maandiko yake anasema "...religion is opium of the people",kwamba kwa imani za watu kama hata kama unaonewa na mabwanyenye,hutakiwi kurudisha "..just turn the other cheek.."

Ila nitofautine kidogo na mtoa maada,kwa heshima kabisa,si kuwa imani,mila na desturi ndizo zinazoduma maendeleo ya Waafrika,nataka hapa niungane na Marehemu Dr.Walter Rhodney, ambaye aliweka wazi kuwa kwa tamaduni za kiafrika zilivyokuwa karne ya 15 na 16, ziliwawezesha Waafrika kupiga hatua kubwa za kimaendeleo kwa wakati huo kuliko hata nchi za Ulaya. Kumbuka hata mapinduzi ya viwanda yalikuwa bado Uingereza,tayari waafrika walikuwa na system nzuri za utawala...mfano tawala kama za Ghana, Mali, Timbuktu... Mwanamutapa, Congo, Zulu...Maghreb, zilishakuwa na hata mifumo ya taaluma na sayansi na hisabati ambazo wazungu walipokuja walizikuta mfano kama Algebra zilikuwa maarufu Afrika Magharibi kabla ya kuja wazungu.


Tamaduni za waafrika zilishika katika kazi na kujenga jamii miji na ustawi wa watu...kabila kama za Fulani,Tuareg...tamaduni za watu kama Nok zilishastawi katika teknolojia ya chuma na zana za chuma mbali sana kabla ya wazungu kutia mguu Afrika.

Si kweli kuwa tamaduni au mila hizi ndizo zilizorudisha nyuma maendeleo ya Waafrika, ni wakati wa vugu mechi ya wazungu kuingia Afrika na kuharibu kila asili ya jambo la kimaendeleo la Waafrika,kuanzia mifumo ya utawala,imani,mila na hata mazingira..vyote vilihamishwa na kupewa muonekano na mtazomo wa kizungu usisaidia kupiga hatua yoyte ya uvumbuzi na ujenzi wa jamii ya kiafrika.

Angalia wasomi wa shahada za juu tuliouwa nao sasa,wote walitokana na mifumo ya elimu za kikoloni ambzo haziwawezeshi wasomi hawa kuvumbua hata sindano,zaidi ya kupiga makelele tu, elimu ya kiafrika ilimwezesha mwafrika kuweza si tu kujitegemea mwenyewe bali hata kutegemewa na jamii yake, kwani ilimjenga kuwa mbunifu na mtendaji wa mambo ya faida na maendeleo kwake na kwa watu wake,tokea akiwa mdogo naye hurithisha kwa watoto wake na watoto kurithisha kwa watoto wao kwa namna mpya inayoendana na wakati huo,jamii ziliendelea na mabaki ya historia ya kazi hizo mengine mpaka leo yapo.

Haya yote yameharibiwa na wazungu,kama nilivyosema kwa kupandikizo system mbovu zenye madhara mpaka leo kwa waafrika,tokea biashara ya utumwa, ukoloni,ubeberu,ukoloni mambo leo,utandawazi...hatua zote hizi zimechangia kufuta kabisa mila na tamaduni za kiafrika zenye faida kwa mazingira ya kiafrika.

Sikatai kuwa kuna sehemu ya lawama kwa waafrika wenyewe kushindwa kutumia fursa ya kujitawala,walau kupunguza hizi legacy..kama alivyosema Prof.A.A. Mazrui "...pasingekua tatizo wakati nchi zetu zinapata uhuru viongozi wakakaa na kufikiria mifumo sahihi ya uwongozi kwa mujibu wa mazingira ya kiafirka,kama wangekaa wakafikiria tu tuwe na baraza la mji kama la mfalme wa Buganda, Wolof,Calabar, Ghana n.k...bdala yake tumekwenda mbali kutaka vyombo vyetu vya kimaamuzi viwe kama bunge la Cananada au WestminsterAbbey model.."

Kwa maneno uliyoyaandika hapa, na kwa asilimia za ukweli zilizopo, basi inanishawishi kukuona mwenye akili timamu kama mimi, kwa hiyo unaweza kuwa rafiki yangu haswa ktk kubadilishana mawazo na zaidi kufikiri nini mustakabali wa mbeleni kwetu, namba yangu ya simu ni 0752 622 096. ila kwa sasa hivi hautanipata niko nje ya nchi mpaka mwanzoni mwa mwezi wa april. big up to you
 
Mkuu mimi ninavyofahamu ni kwamba mikoa hiyo unayotaja iliendelea kwa sababu ilishikilia BOT na TRA (hazina zetu) na ndo maana watu wakawa na wanavuga kwenye biashara lakini wanachota tu pesa.Ajira ndo usiseme.Kwa sasa ambapo ofisi ile hawapo na mkuu akirejea tena atawatimua TRA hapo tu tutawapa miaka nyingine ishirini ndo tuamini kwamba hiyo mikoa inaendelea kwa sababu ya juhudi zao. kwa sasa bado nina doubt uhalali ya utajiri wao.

Inaonekana ubongo wako haufanyi kazi vizuri, na pia watu wenye mawazo kama ya kwako ndio wanaochangia udororaji wa ustawi wa jamii,maana ni mizigo kwa jamii inayowazunguka, na ndiyo maana tunasema kuishi kwa imani ni shina la umaskini, je utajiri wa wahindi nao umetokana na TRA na BOT? je wachina pia walifanya kazi ktk TRA ya Tanzania,pls amka
 
Back
Top Bottom