Vikojozi..........utawasaidiaje?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
usimtumbulie macho au kumlaumu kikojozi ujue hilo ni balaa.....................wengi wa vikojozi hutokea kutokana kuishi kwenye mazingira magumu wakiwa watoto.............................yaani huwa wanapigwa sana na wakubwa zao......au wazazi, au waalimu wao......au hata kutokuwa hawajaliwi kwenye mazingira waishiyo...........na kutokana na kuishi katika hofu muda mrefu na wao wana umri mdogo wanakosa uvumilivu na hivyo kuathirika kiakili.................................hivyo badala ya kuwacheka tumia muda mwingi kuwashawishi wakujuze yaliyowasibu wakiwa wadogo.........na hadithi za manyanyaso hujirudia mara kwa mara..................

Nabii T.B Joshua wa-Nigera yeye huliangalia hili tatizo kiroho zaidi badala ya mateso ya kimwili na hutumia vipaji vyake kuyafukuza mapepo...............................

Wenye ufahamu zaidi wa tiba ya kikojozi kitandani watujuze.................hili ni tatizo linalosumbua vijana wengi na huishia kuwa wananyapnyapaliwa na jamii bila ya jammi kuelimishwa kuwa hayo ni matatizo ya kisaikolojia.....................yanayohitaji tiba tu................
 
usimtumbulie macho au kumlaumu kikojozi ujue hilo ni balaa.....................wengi wa vikojozi hutokea kutokana kuishi kwenye mazingira magumu wakiwa watoto.............................yaani huwa wanapigwa sana na wakubwa zao......au wazazi, au waalimu wao......au hata kutokuwa hawajaliwi kwenye mazingira waishiyo...........na kutokana na kuishi katika hofu muda mrefu na wao wana umri mdogo wanakosa uvumilivu na hivyo kuathirika kiakili.................................hivyo badala ya kuwacheka tumia muda mwingi kuwashawishi wakujuze yaliyowasibu wakiwa wadogo.........na hadithi za manyanyaso hujirudia mara kwa mara..................

Nabii t.b joshua wa-nigera yeye huliangalia hili tatizo kiroho zaidi badala ya mateso ya kimwili na hutumia vipaji vyake kuyafukuza mapepo...............................

Wenye ufahamu zaidi wa tiba ya kikojozi kitandani watujuze.................hili ni tatizo linalosumbua vijana wengi na huishia kuwa wananyapnyapaliwa na jamii bila ya jammi kuelimishwa kuwa hayo ni matatizo ya kisaikolojia.....................yanayohitaji tiba tu................

wait i'll be back in a minute
 
asante muheshimiwa kwa kuleta hilli hapa jukwaani......
Hopefully utapata wajuzi juu ya jambo hili...
labda ungeliweka kwenye sehemu ya JF Doctors ungepata wataalum zaidi juu ya jambo hili...
 
:whoo::whoo:Atumie Maji walio oshea Mchele au ndevu za mahindi achemshe maji yake anywe Mkuu
 
Mkubwa kweli hilo ni tatizo ambalo mara nyingi linafedhehesha wahusika. Kwa kawaida vikojozi huwa wanajikojolea kwa wakati au kipindi maalumu wakiwa wamelala usiku. Kila kikojozi ana muda wake ambao hua anapitiwa na kujikojolea kitandani. Wengi huwa hawajikojolei ovyo. Ukimfuatilia kikojozi utaona muda ambao anajikojolea ni karibu huohuo kila siku. Kinachotakiwa ni kufanya utafiti na kujua ni wakati gani ambao mara nyingi kikojozi anajikojolea, na uanze utaratibu wa kumuamsha kila siku muda mfupi kabla ya muda wa kujikojolea kufika ili aende msalani akakojoe. Zoezi hilo likiendelea kwa muda, atazoea (conditioned) na atakua anaamka mwenyewe na kwenda kukojoa kila siku pindi muda wa "kuharibu mashuka" unapojili. Njia hii imesaidia wengi.
 
Back
Top Bottom