Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
usimtumbulie macho au kumlaumu kikojozi ujue hilo ni balaa.....................wengi wa vikojozi hutokea kutokana kuishi kwenye mazingira magumu wakiwa watoto.............................yaani huwa wanapigwa sana na wakubwa zao......au wazazi, au waalimu wao......au hata kutokuwa hawajaliwi kwenye mazingira waishiyo...........na kutokana na kuishi katika hofu muda mrefu na wao wana umri mdogo wanakosa uvumilivu na hivyo kuathirika kiakili.................................hivyo badala ya kuwacheka tumia muda mwingi kuwashawishi wakujuze yaliyowasibu wakiwa wadogo.........na hadithi za manyanyaso hujirudia mara kwa mara..................
Nabii T.B Joshua wa-Nigera yeye huliangalia hili tatizo kiroho zaidi badala ya mateso ya kimwili na hutumia vipaji vyake kuyafukuza mapepo...............................
Wenye ufahamu zaidi wa tiba ya kikojozi kitandani watujuze.................hili ni tatizo linalosumbua vijana wengi na huishia kuwa wananyapnyapaliwa na jamii bila ya jammi kuelimishwa kuwa hayo ni matatizo ya kisaikolojia.....................yanayohitaji tiba tu................
Nabii T.B Joshua wa-Nigera yeye huliangalia hili tatizo kiroho zaidi badala ya mateso ya kimwili na hutumia vipaji vyake kuyafukuza mapepo...............................
Wenye ufahamu zaidi wa tiba ya kikojozi kitandani watujuze.................hili ni tatizo linalosumbua vijana wengi na huishia kuwa wananyapnyapaliwa na jamii bila ya jammi kuelimishwa kuwa hayo ni matatizo ya kisaikolojia.....................yanayohitaji tiba tu................