Mkwere Sumbawanga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2015
- 734
- 634
okhatuna
okhatuna
Poa nimekusoma, hivi hawawezi kujijengea majumba yao wenyewe kiasi cha kutosha mahitaji yao kutokana na vyanzo vyao vya mapato ???? ( maana najua kuna mainjinia wa majengo na wataalamu kibao wa masuala ya ujenzi.)silaha nyingi nzito jeshi linanunua nje hasa China, Marekani, Uingereza, Ukraine, India n.k sare zinatengenezwa bongo na silaha chache.
nyumba nyingi mbona wanajenga wao wenyewe.Poa nimekusoma, hivi hawawezi kujijengea majumba yao wenyewe kiasi cha kutosha mahitaji yao kutokana na vyanzo vyao vya mapato ???? ( maana najua kuna mainjinia wa majengo na wataalamu kibao wa masuala ya ujenzi.)
mambo yamebadilika siku hizi mtiririko hauko hivyo. Jamaa hapo juu yuko sahiiNasahihisha kidogo
13. Ngao na nyota tatu ni Brigedia General
14.X na ngao ni Major General
15.X na nyota moja na ngao ni luten general
16.X na nyota mbili na ngao ni general
machache yanayojulikana kwangu:Jamani mnaojua tupeni ufafanuzi kuhusu hili, Division, Kamandi, Brigedi, Kikosi, platuni nk.
Mkuu je mwenye bibi na bwana na nyota tatu zilizokaa kwenye mtindo wa triangle anaitwaje?#1. Asiye na cheo-Private
2. V moja- Koplo usu
3. V mbili-Koplo
4. V tatu- Sajenti
5. V tatu na mwenge- sajinitaji
6. Mwenge(mkononi)-Afisa mteule daraja la pili, na ngao(mkononi)afisa mteule daraja la kwanza
7. Nyota moja-luteni usu
8. nyota mbili-luteni
9. nyota tatu-kapteni
10. ngao-meja
11. ngao & nyota moja-luteni kanali
12. ngao & nyota mbili-kanali
13. X & nyota moja na ngao-brigedia jenerali
14. X & nyota mbili na ngao-meja jenerali
15. X & nyota tatu na ngao-luteni jenerali
16. X & nyota nne na ngao-jenerali
N.B: Mwenye masahihisho anakaribishwa
mfumo huo kwa sasa haupo. aliitwa brigedia jenerali. kwa sasa angalia namba 13 kwenye uziMkuu je mwenye bibi na bwana na nyota tatu zilizokaa kwenye mtindo wa triangle anaitwaje?#
Hizo brigedi 5 ni zipi?machache yanayojulikana kwangu:
1. kamandi zipo tatu tu: anga, maji na ardhi
2. kamandi ya ardhi ina brigedi tano
3. kikosi na kambi vinafanana ila kikosini kuna huduma za kijamii
KoploMkuu ahsanteh kwa ufafanuzi, ila niliomba kufahamu mtu mwenye degree ya kwanza akifanikiwa kuingia jeshini anakuwa na cheo gani hapo mkuu na mtu mwenye diploma.nashukuru mkuu
Kuna tofauti kubwa mno....Ukiona mwanajeshi ana nyota basi ujue nyota hiyo inamtambulishs kama Commisioned Officer anayopewa na Rais peke yake...Na vyeo vya Polisi, Magereza, uhamiaji na zimamoto vinatofauti gani na hivi vya Wanajeshi? Mwanajeshi mwenye nyota tatu yuko sawa na polisi mwenye nyota tatu pia? Au vinatofautianaje?
Kuna tofauti kubwa mno....Ukiona mwanajeshi ana nyota basi ujue nyota hiyo inamtambulishs kama Commisioned Officer anayopewa na Rais peke yake...Na vyeo vya Polisi, Magereza, uhamiaji na zimamoto vinatofauti gani na hivi vya Wanajeshi? Mwanajeshi mwenye nyota tatu yuko sawa na polisi mwenye nyota tatu pia? Au vinatofautianaje?
Nashukuru sana kwa maelezo hayo hakika umenifuta ujinga.Kuna tofauti kubwa mno....Ukiona mwanajeshi ana nyota basi ujue nyota hiyo inamtambulishs kama Commisioned Officer anayopewa na Rais peke yake...
Polisi na hao wengine zile nyota zao sio commissioned na Rais...Ila wanaitwa gazetted officer wanapeana wenyewe huko.....
Kuachilia Kamishna wa Polis anayeteuliwa na Rais wengine wote hata kama ana nyota 10 na mabibi na mabwana na mangao mabegani ni mdogo kwa Afisa wa jeshi mwenye nyota moja na akikuta na Luten usu wa JWTZ lazima ampe saluti..
MP maana yake ni Millitary Police(polisi jeshi)...Anafanya shughuli zake za kipolis jeshi within Millitary premises only (maeneo ya jeshi tu)Nashukuru sana kwa maelezo hayo hakika umenifuta ujinga.
Na hawa MP, wanamamlaka ya kufanya kazi kwa raia kama alivyo polisi wa kawaida? Maana kuna sehemu kama Makongo huwa wanakaa mpaka barabarani.