Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Kuna katabia ka wanaume wa JF Kujifanya w/anajuana..kutaniana na kila mwanamke wa humu ndani then ukiangalia replies unakutana ke kama anamsorora fulani hivi.
Hii tabia ni mbovu tena ya kujipendekeza. Wanayo wengi ila kuna jamaa lilikuwa linakera balaa this year kapunguza. Shobo kwa mtoto wa kiume sio nzuri
Hii tabia ni mbovu tena ya kujipendekeza. Wanayo wengi ila kuna jamaa lilikuwa linakera balaa this year kapunguza. Shobo kwa mtoto wa kiume sio nzuri