am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 506
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una kibamia mkuu??Kuna sheria isiyo rasmi miongoni mwa wanaume kwamba ukinikuta nimesimama eneo hili nikienda haja ndogo (mfano kwenye ile mifereji ya maliwatoni au masinki) wewe utasogea mbali na mimi au mimi nitasogea mbali na wewe. Wanaonikera ni yule anayekuja kukaa karibu na wewe kiasi kwamba anakuangalia dushe lako na kasi ya mkojo.
Sijui hua wanawaza nini.