Mimi mwenyewe nimeshaonja chungu ya huu mchezo.
Nilianza mwaka 2009,ilipofika 2011 nililala na demu kwa mara ya kwanza katika maisha yangu,kitendo cha kuvaa mpira mashine inalegea,nikaitia kavu,lakini dakika nikaachia wazungu,ikasimama nikatia tena,ilifanya hivyo kwa awamu kama nne mpaka nikatosheka.
2012 tena ikawa hivyo hivyo,nilipiga mara moja tu,chalii.Lakini kuna mzee mmoja muuza pweza pale Darajani-Unguja,aliniuzia supu ya Tsh.300,siku iliyofuata nilipiga mzigo 1hour.
Nikaachana na ngono mpaka 2014 lakini muda wote huo nilikuwa ni mzee wa kunyetuka tu,nilimchukua demu kisu balaa,ile kuingia 6×6,mtambo ukagoma,show ikaishia hapo.
Nikaachana na mademu mpaka mwaka huu,lakini nilibaki na mchezo [emoji51],dah,nilimuandaa demu,ila kutaka kuiweka ikalala, nikaingia zangu chooni kushtua kimoja,kisha nikaimasaji na colgate,nikarudi kwa yule demu aliyejilaza kwa bed,nilipiga kama 40 min bila ku-ejaculate.Iliniuma sana,nikarudia gemu ndo viumbe wakatoka.
Pia uwezo wa kukumbuka umepungua sana,yaani kuna password ya JF niliisahau kimasihara sana.
Hapa nilipo najaribu kuacha lakini,baada ya wiki 2 tu narudia,sijui nifanye nini kuachana na huu uchafu.It is becoming compulsive [emoji24][emoji24]