Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

Vijana Wenzangu Miaka 14 - 25 Punyeto hatari

Tatizo linakuja kwa wanawake 10 kumpenda mwanaume mmoja, sasa utakuta wengine kupata wanawake ni kazi sana, utakuta kuna mda unalazimisha mwanamke awe na ww ila nyama hatoi au atakuzungusha sna, ata ukimpata ni kusumbuliwa sana, kwa mtazamo wangu solution ni kuowa tu Mapema, hayo yoote unaweza kuyaepuka
 
Mimi nilikuwa kama wewe na hakuna aliyewahi na atakayekuja kunifikia rekodi sababu nilikuwa napiga goli 6 kwa siku 1 = 42 goals kwa wiki.

Mungu kaniokoa hivi sasa nina mwaka wa 6 sijui nini maana ya punyeto.

Maombi yanaweza chochote kile chini ya jua.

Punyeto inakufunga kiroho, kisaikolojia na kimwili.

Maombi + mazoezi ya mwili + vyakula vya asili + maji mengi ya kunywa.

Mke niliyenaye kachangia kwa 50% kunihamasisha kisaikolojia kuwa ninaweza hata nilipokuwa nikienda goli 1 tu.

Sasa hivi napiga goli 4 kwa wiki mbali na goli 1 au 2 za dharura akiwa anapika, akiangalia TV na akikaa katika mavazi ya kitandani.

Asante sana Mungu kunitoa utumwani.
 
Aahh mengi sana
Kchwa kuuma
Viungo kuchoka
Hata nguo mbili nikifua kiuno kinauma hatar

halafu mm nilikuwa mazngra ya shule s pgi ila k om daahh

Ila nilipata toto alinihudumia had nikaisahau mkuu
NAKAZIA MADHARA YA PUNYETO:

*Kusahau mara kwa mara(kupoteza) kumbukumbu.

*Kuchoka mara Mbeki zaidi ya Mtu aliyefanya mapenzi ya kawaida hata kwa goli 4,5,6.

*Upungufu wa akili.

*Stress baada ya jongoo kushindwa kupanda mtungi na ni aibu/adhabu kubwa sana kwa Mwanaume ktk hili afadhali hata asiishi kabisa duniani 7bu ni Me kwa jina lakini ni Ke kivitendo.

*Vigumu kutongoza kwa kuthaminisha kila Mwanamke na mfano wa Mwanamke feki aliyejijenga katika ubongo kupitia picha/video za uchi.

*Kukosa watoto sababu ya homoni kukosa nguvu za ukomavu wa kutungisha ujauzito maana mbegu ni chache.

*Chukizo kubwa sana kwa Mungu maana gametiume ziliumbwa ili kuwekwa ktk uke kwaajili ya burudani au kutungisha ujauzito.

Kupoteza nguvu kazi kwa kizazi kijacho, Je wajua watoto unaowatupa wangekuja kuwa akina nani hapa duniani wasingetupwa kupitia punyeto?
 
Back
Top Bottom