Vijana hawa ambao wamesambaa kila kona ya Tanzania wanadai Ikulu si mahala pa kukimbilia hata kama huna sifa.Vijana hao wanasema watabakia kuwa CHADEMA lakini kitokana na kipengele cha Uadilifu kutozingatiwa ndani ya chama chao, wao watamchagua kiongozi mwadilifu ambaye ni Dr. Magufuli.