Huu uzi umekaa kipashukuna ila kwa kuwa una hasara kwa chadema, na faida kwa ccm, basi Moderator wa JamiiForums wameuacha. Ila ungeondolewa na akina Invisible na Mhariri kama ungekuwa unakikosoa Chama cha Mapinduzi. Mods JF acheni unafiki uchama. Mnajiaharibia. Na ipo wakati mwanahalisi watawapiku kwa mbali kwa sababu ya ujinga wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.