sintalikwetu
Senior Member
- Jul 20, 2015
- 130
- 32
Bila shaka waliandaliwa ndio maana wote wako ndani ya sare.
Sio mbaya kuandaliwa maana hata taarifa tu kuwa MPINGA MAFISADI anapita ni kuwaandaa watu wamsubiri aongee nao. Magufuri rais wetu piga kazi Maana kabla hujaingia tu kuna wagombea tayari wanajinyea na kujikojolea jukwaani na kwenye ndege. Kura yangu ni KWA MAGUFURI.