Vijana wamesimamisha Msafara wa Magufuli

Vijana wamesimamisha Msafara wa Magufuli

Ungependa wawe wamevaa magwanda ya pipooz?

Hebu tumia akili yako kufikiri japo kidogo.
Unadhani vijana hao wamwkutana naye bahati mbaya?
Ni wazi walijua ratiba yake, kisha wakajiaandaa na kujipanga namna ya kukutana naye katika hiyo ruti yake.

Na kwa kuwa haikuwa kwenye ratiba rasmi lazima wajitofautishe na yale magenge ya chadema ambayo hukaa njiani kwa lengo la kuzomea.

Sijui unaelewa au nianze ule msisitizo wa elimu, elimu, elimu??

Maajabu ya musa halafu unaeza kuta hizo nguo za kijani ni kodi zetu majanga!
 
kijana mwenyewe hajanyoa mafuzi ya kwapani sijui tangu mwaka jana. kweli ccm mnahitaji elimu hadi ya usafi sio ya darasani tu. hao watakuwa wameandaliwa, wanae hadi vipeperushi nani kawapa au wametoa wapi????
 
Yaani hata kudanganya hamjui?? CCM inakufa mateso yanakwisha
 
Wale wanaofagia barabara wanakuwaga na bendera za chadema tu.?
 
11225376_10153489044489504_4994685304285311844_o.jpg




Siku zinavyozidi kwenda mbele ni lazima tujue kuwa ushindi wa Magufuli ni lazima kwasababu mikutano aliyoifanya na idadi ya mikoa aliyoenda pamoja na majimbo aliyofika na vijiji alivyofika kuomba ridhaa ni mara mbili ya sehemu walizofika ukawa hivyo ushindi ni lazima kwa Magufuli. ‪#‎HapaKaziTu‬
‪#‎KijanaWakatiNiWako‬

yani we post zako zote zimekaa kizuzu zuzu tu! kwani huko ambapo EL hajafika kutaenda fomu za kufuli na samia tu? za lowassa hazitakuwepo? ndio maana mnakaaga kuhesabu hadi mita mlizotembea kumbe. Tz ni mpya amka acha u*se*nge mtu mzima.Huyo kijana mwenyewe anae mafuzi kwapani ya tangu mwaka jana hajanyoa, kweli ccm mnahitaji hadi elimu ya usafi, sio ya darasani tu. enhee!! kama hawajaandaliwa wametoa wapi vipeperushi? sare ambazo huwa mnazunguka nazo kwenye fuso mikoa yote mkienda kwenye fiesta wametoa wapi? akili kumkichwa arifu acha ufa*la. hapa kazi tu na hao vijana hapo hakuna mwenye ajira ata mmoja. kampeni zezu zenyewe zimejaa matusi na udhalilishaji, mara mnamtukana mshindani wenu, mnatukana na wapiga kura, juzi tu mkapa na heshima zake kaambia wanaume wa lindi kama wanataka mabadiliko wabebe mimba bado mnataka kura????? we unatakiwa ukapimwe akili mzee.

View attachment 298821
 
CCM kwa kusomba watu hamjambo..nilikua Kilwa kikazi ambako Magufuli jana alihutubia..njia nzima wakati tunatoka Kilwa hiyo jana saa tatu asubuhi kurudi Dar ni makundi ya watu walioandaliwa na kuvishwa sare za CCM. Kuanzia Kilwa kwenyewe..Nangulukulu..Kipatimo..Ikwiriri..Kimanzichacha..Kibiti mpaka karibu na Dar..Eicher, Fuso na malori ya mchanga jana yalipiga kazi kweli kweli..ntaweka picha soon.

Kusomba watu ni njia sahihi kabisaaa ya kuhakikisha watu wanafika kwenye eneo la tukio la kusikiliza sera, mbona el anawasomba pia, tena sana tu, kikubwa waje wasikie sera, sasa mzee wetu el yeye hata dk 5 tu haziishi hatumwelewi
 
CCM kwa kusomba watu hamjambo..nilikua Kilwa kikazi ambako Magufuli jana alihutubia..njia nzima wakati tunatoka Kilwa hiyo jana saa tatu asubuhi kurudi Dar ni makundi ya watu walioandaliwa na kuvishwa sare za CCM. Kuanzia Kilwa kwenyewe..Nangulukulu..Kipatimo..Ikwiriri..Kimanzichacha..Kibiti mpaka karibu na Dar..Eicher, Fuso na malori ya mchanga jana yalipiga kazi kweli kweli..ntaweka picha soon.

Kusomba watu ni njia sahihi kabisaaa ya kuhakikisha watu wanafika kwenye eneo la tukio la kusikiliza sera, mbona el anawasomba pia, tena sana tu, kikubwa waje wasikie sera, sasa mzee wetu el yeye hata dk 5 tu haziishi hatumwelewi
 
CCM ilishamfia Jk,Magufuli kakabidhiwa jeneza la CCM kwa ajili ya mazishi.
 
Back
Top Bottom