Dabaga1998
JF-Expert Member
- Apr 10, 2016
- 994
- 502
Tupo wachache kivipi mimi si kati ya hao wanaoomba. Mimi nimeona huo umati nikaona ngoja nijaribu kuwasilisha maoni yangu hapa jamii forum.Mbona mpo wachache
hayo ni mafunzo ya kujitolea sio ajira mkuu wakitoka kwenye mafunzo wana rudi nyumbani hawaajiriwiHii inamanisha ajira ni jipu kuliko majipu ya wasiochukua mshahara toka 2013..
nashangaa mh. anahangaika na vijipu kuliko hii mijipu.
Unaenda kuomba kazi ya jeshi umevaa kitenge..mwingine kavaa "kata K"
Yaani kama mimi ndiye ningekuwa nawaadahili, ningeanza kwanza nalo hilo kavaa kitenge kofia bila msingi wowote, wakikosa waty kama hawa wanalalamika sana