NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 1,390
- 1,444
Kwani huyu Rais wetu ni generation ipi?Generation ya 2000 ni innocent generation Ila hiyo ya 1950 ndo hii imeiba , imezulumu n.k na kuandaa mifumo mibovu Kama katiba, n.k
Kwani huyu Rais wetu ni generation ipi?Generation ya 2000 ni innocent generation Ila hiyo ya 1950 ndo hii imeiba , imezulumu n.k na kuandaa mifumo mibovu Kama katiba, n.k
Kweli ,ila kwa kiasi gani?Lakini mbona wapo hata watu wazima ni chai maharage.
Lakini mkuu unalifahamu ya kuwa tatizo hili ni la dunia nzima kwa sasa.na sijui kama litakuja kutatulika.Kweli ,ila kwa kiasi gani?
Hakuna kizazi kisicho na watu wa maajabu kama zilivyo kaya nyingi ,lakini ukubwa wa tatizo ndipo tofauti ilipo
Sababu ni elimu. Narudia tena sababu ni elimu. Kinachoendelea Tanzania sasa hivi ni ukosefu wa elimu. Walipoamua tutumie kiswahili kama lugha ya kufundishia na kugeuza mitaala iliyoachwa na wakoloni tulianza kuharibu. Baadae tulipoanza kuzingatia elimu za kukariri ili kuweza kujibu maswali tukamalizia hata kile kidogo tulichokuwa nacho. Vijana wengi ambao wako under 30 sasa hivi wamesoma kwenye mfumo wa 1. Kiswahili 2. Kukariri. Hii ni combination mabaya sana kwa sababu watu wanamaliza vyuo bila maarifa kichwani. Leo nilikuwa nasikiliza aliyekuwa makamu wa rais Kenya bwana Gachagua akiulizwa maswali na diaspora wa USA... aisee nimeshtuka sana. Wako vizuri kweli kweli na wanauliza maswali ya msingi tena kwa kutumia english ya kisomi. Japo watu wanasoma english ni lugha tu lakini siyo kweli. Kswahili ni lugha ya kifukara na duni sana na haina jagon za kitaalam hata kidogoInaweza kuwa sababu
Generation ya Makahaba na Mafisadi ¡Kwani huyu Rais wetu ni generation ipi?
Kuna uzi uliweka hapa kuhusu wale jamaa naona jf wameupiga piniInaweza kuwa sababu
Huwa najiuliza hawa watoto wa 2000s si wamezaliwa na wazazi wa 1970s-1980s ambao walinyooka kimaadili! Wanalaumiwa watoto badala ya wazazi wao!Muda una mambo yake
Kizazi cha early 90s ndo mpango mzima. Nyie endeleeni tu kuwakatia mauno hadharani miarabu.Najivunia kuwa kizazi cha 2000 ndicho kizazi ambacho kitakuja kuleta mabadiliko makubwa nchini kwa baada e In Shaa Allaah japo tuna mapungufu yetu.
Kizazi cha nyuma kimezalisha vijana wengi wa hovyo na Mafisadi wengi na wamechangia kama nchi kufika hapa tulipo.
Hapa JF tu mna idadi ya vilaza na watu wa hovyo wengi mno wakiongozwa na Maghayo Busu la Kenge . Maarass!!!
Ila Sababu pia ni mfumo mzima kama Taifa Kuna mahali tulifeli lazima tukubaliane na huu ukweli maana hicho Kizazi hakikujilea chenyewePia kizazi cha 2000 kuendelea ni kizazi chele maarifa ya shule tu,mbali na shule ziada ya ubongo imehifadhi mambo ya ajabu ajabu,
Ni watu wa hovyo,wazembe,wavivu na kila jambo baya sasa utaambiwa watoto wa 2000
Sijui kulea watoto wanaozaliwa nyakati hizi inakuwaje,wazazi kazi tunayo kubwa sana
MuulizeKwani huyu Rais wetu ni generation ipi?
kizazi cha sasa wao wanajuwa kukata mauno tu+udaku
Ova
Hiyo ni kweli...imagine baba wa sasa hivi hana mpango wa kumuadhibu mtoto kisawasawa,mama yupo bize na tamthilia ,mimba za utotoni ukienda huko uswahilini ni kama baraka.wakati kuna wa kinasisi does not matter ikifika 17:30 haupo nyumbani urudi na vielelezo ya kushibisha na ni mtoto wa kiume.je manzi itakuwaje,mtoto anajibu lolote kutoka kwa mzazi,vyakula vya kuiga kutoka mashariki vimekuwa kama sifa,elimu ya sasa iko vizuri lakini wapo busy kutafuta sex sites kwenye social medias.LAKINI BINAFSI NINAHISI ZALAMA NI ZENU WAZAZI AMBAO NI GEN ZA BACK OF 90.MSILAUMU SANA WATOTO.the bible say huwezi kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako ikiwa wewe unacho jichoni mwako.Huwa najiuliza hawa watoto wa 2000s si wamezaliwa na wazazi wa 1970s-1980s ambao walinyooka kimaadili! Wanalaumiwa watoto badala ya wazazi wao!
Siku tukiacha kutupia lawama watu wengine hata kama makosa tulifanya sisi wenyewe tutakuwa tumejikwamua sana!
Namaanisha ukifanya kosa ama uzembe basi wajibika kwa huo uzembe na makosa yako mwenyewe na usitafute kisingizio chochote!
Mfano halisi ni huu: Wazazi wa 1970s-1980s ambao waliwazaa watoto wa 2000s wengi wao walishindwa jukumu mama la kimalezi kwa watoto wao.Baada ya kushindwa wanawatupia lawama watoto wao wenyewe!
Wabunge wengi wao ni wa 90 kurudi nyuma.. Hii hali inayotukuta sasa iliwatokea DRC miaka ya nyumaWabunge waliweza ungana wakatengeneza G55 miaka ya 90! Kwa sasa wabunge wote ni mazuzu
2025Kizazi cha 2000-2925 ni Kizazi kinacho hitaji maombi haswa, as sisi kama wazazi wao tuliwaacha wajilee wrnyewe sisi kama wazazi wao tulikua busy kutafuta pesa
Maisha yamegeuza vipaumbele kaka, kama wazazi ndio tumeandaa hiki kizazi, hakijatokea kwa siku mojaHawa wataingia tu barabarani siku wakijua adui wa vijana ni vijana wenyewe.
Angalia police vijana wanavyoua vijana wenzao na kuwateka
Nipo ndani ya jeshi kwa muda
Mrefu Sana intake za Magufuli na Samia ndani ya jeshi ndio problem hawana kabisa identity ya uzalendo hata punje wao ni pesa pesa mbele
JKT pia na Moshi Kuna shida kwenye kuandaa Hawa watu
No zao la kukosa elimu bora
Kuna utofauti, wenzetu mfumo wao haubadiliki sana,watoto huendeleza miradi ya familiaLakini mkuu unalifahamu ya kuwa tatizo hili ni la dunia nzima kwa sasa.na sijui kama litakuja kutatulika.