Vijana wa Tanga mna shida gani?

Dec 11, 2023
11
47
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu.

1. Si jambo la kushangaza mkoani Tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia yake (mke na watoto).
2. Vijana hawajitumi kabisa, kutwa wako kwenye mabao ya keram, drafti na vijiwe vya alkasus.
3. Wameridhika sana, kupokea 6000 kwa siku kwa kazi ya kiwandani, wanaona maisha wameyapatia.
4. Kuendekeza sana ushirikina (uganga).
 
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu.

1.Si jambo la kushangaza mkoani tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia yake(mke na watoto).

2. Vijana hawajitumi kabisa, kutwa wako kwenye mabao ya keram,drafti na vijiwe vya alkasus

3. Wameridhika sana, kupokea 6000 kwa siku kwa kazi ya kiwandani wanaona maisha wameyapatia.

4.Kuendekeza sana ushirikina( uganga ).
Acha majungu na wivu wa kike wewe.
 
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu.

1.Si jambo la kushangaza mkoani tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia yake(mke na watoto).

2. Vijana hawajitumi kabisa, kutwa wako kwenye mabao ya keram,drafti na vijiwe vya alkasus

3. Wameridhika sana, kupokea 6000 kwa siku kwa kazi ya kiwandani wanaona maisha wameyapatia.

4.Kuendekeza sana ushirikina( uganga ).
Tanga , waende leo hakuna kurudi tena...😂😂😂
 
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu.

1.Si jambo la kushangaza mkoani tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia yake(mke na watoto).

2. Vijana hawajitumi kabisa, kutwa wako kwenye mabao ya keram,drafti na vijiwe vya alkasus

3. Wameridhika sana, kupokea 6000 kwa siku kwa kazi ya kiwandani wanaona maisha wameyapatia.

4.Kuendekeza sana ushirikina( uganga ).
Mtindo wa Maisha ya watu wa Ukanda wa Pwani yanafanana.
Watu wengi wa Pwani Wana utamaduni wa mambo ya kiswahili-swahili, mipasho, blah blah nyingi pamoja na porojo kibao midomoni mwao. Wanapenda kuongea saaana kupita kiasi kuliko vitendo. Walio wengi hawapendi sana masuala ya kwenda shule ili kupata maarifa ya elimu dunia.
 
Sijui ni mila na desturi ama ni mazoea yaliojengeka kutokana na malezi, mazoea yani inshort nakosa majibu.

1.Si jambo la kushangaza mkoani tanga kumkuta kijana akiishi ukweni pamoja na familia yake(mke na watoto).

2. Vijana hawajitumi kabisa, kutwa wako kwenye mabao ya keram,drafti na vijiwe vya alkasus

3. Wameridhika sana, kupokea 6000 kwa siku kwa kazi ya kiwandani wanaona maisha wameyapatia.

4.Kuendekeza sana ushirikina( uganga ).
Maisha ni namna unavyoya define wewe na jamii yako!

Ni ujinga kutoa maana ya maisha kwa tafsiri ya jamii nyingine isiyo na faida kwako!
Watu waishi. Mila, tamaduni na utaratibu wa jamii moja moja uheshimiwe!

Karibu Sabasaba tutafune Mdudu!
 
Tanga kwa njeka na mabovu bila kusahau nguvu mali.
Wapi wanangu wa sahare......

Tanga wavaa misuli, Tanga mtoto wa kiume kusutana na mwaju au Aisha ni kawaida sana.

Watoto wenyewe weupe kina Farid 😅😅😅

Watoto wa kiume kama mabinti wametepeta yaani urojo wa zenji....

Ila mabinti wa kitanga sifa ziende kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom