Vijana wa siku hizi hawajui kutongoza

wa siku hizi hawa bikra sasa unategemea akatei vipi kuvua nguo, pili wasichana wa kichaga bado wanakua wagumu yaani wanasema sitaki..! Sitaki...! Sitakiii! Hadi unamvua nguo anasema sitaki..!unazama chumvini anaendelea kusema sitakii..!



we unayo...
 
Mambo mengi yamebalika. Kwanza teknolojia ya mawasiliano imerahisisha sana kutongozana. Haina haja ya kwenda kuvizina visimani, ni text messages tu. Pia hata hayo mavazi ya kumvua mwanamke nguo mko chumbani mpaka utumie nguvu hayapo sana siku hizi.

Zamani mwanamke unakuta kavaa ''kufuli'', gagulo, gauni na khanga juu. Sasa mpaka uzimalize zote hizo jasho limeshkutaka. Siku hizi unakuta sista duu kavaa kigauni chepesi sana, kisha ndani katupia g-string tu; sasa jasho litatoka wapi hapo wakati unaweza hata kumtafuna bila ya kumvua nguo hata moja?
 
kwahiyo unataka kusema kuandika barua au kuzungukazunguka kwa muda mrefu ndio unajua kutongoza? inawezekana bora ya huyu anaesema moja kwa moja nina njaa kuliko kuzungukazunguka
 
tatizo la siku hizi kila kila kitu kimerahisishwa, mtongozaji anatumia lugha rahisi na mtongozwaji naye kajiachia tu na pia anaelewa haraka hiyo lugha,
Hakuna mapenzi watu wanajari pesa na ndo maana zoezi la utongozaji ni jambo jepesi tu. ukitaka kujua kuwa kutongoza ni rahisi cheki na wasichana nao siku hizi wanatongoza wanaume.
 
Kuna toauti kati ya kutongoza na kununua...
Jamaa anaongelea kununua.
Labda tuseme wa zamani walikuwa hawauzi.
kuna mchangiaji kasema wanawake hasa tuseme wasichana walikuwa wachache. Lakini pamoja na hilo kumpata mtoto wa kike anazurura au yuko tayari kudaka wanaume ilikuwa kitu ambacho ni sawa na hakuna hasa vijijini. Imagine maeneo kama Mafia hata mashuleni kumkuta msichana anasoma baada ya kuvunja ungo ilikuwa haiwezekani. Nakumbuka alikuwepo mzawa msichana darasa la nne alikuwa akiitwa punguani. Sijui atakuwa wapi saa hii - hiyo ilikuwa miaka ya 60.
mjini vijana walikuwa wanajifunza tendo a ngono kupitia wanawake waliokuwa wanauza - sio kwamba kuuza hakukuwepo bali mwanamke awe baada ya kuasi ndoa. Wale wa Dar wanajua jinsi Kisutu, kidongo chekundu etc ilivyokuwa. wa Tanga barabara 12, wa Moro pale "nyamagana" Tatizo lilikuwa ni magonjwa kama Kisonono na Kaswende - ingekuwa enzi hizi za ngoma nao wasingekwepa.

Sio kweli kuwa wauzaji ngono hawakuwepo au wanaume walikuwa hawanunui penzi. zama hizi muda wa kuzungushwa watu hawana, maendeleo katika technlojia, idadi ya watu, maingiliano kutokana na kuvunja mipaka ya tamadun za kijadi pamoja mabadiliko ya maisha kiuchumi yameigeuza hali.
 
Kahawa zimeporomoka bei ... Mapenzi yamekuwa ya kununuliwa zaidi ...

Msichana akikupatia nambari ya simu ... huitaji "kutongoza"!
 
Unaonaje mada yako ingekuwa "Vijana wa siku hizi hawatongozi kama tulivyokuwa tunatongoza zamani".
Nini maana ya kutongoza? Si ni kumwaga sera ili ukubaliwe? Sasa killichobadilika - ni njia za kutongozea tu - utongozaji uko pale pale, hata kama utatumia jicho tu kujieleza na ukakubalika, tayari umetongoza. Na hata kama utatuma barua, utaenda kisimani na kukataliwa, bado utakuwa umetongoza japo bila mafanikio.
 
wa siku hizi hawana bikra sasa unategemea akatae vipi kuvua nguo, pili wasichana wa kichaga bado wanakua wagumu yaani wanasema sitaki..! Sitaki...! Sitakiii! Hadi unamvua nguo anasema sitaki..!unazama chumvini anaendelea kusema sitakii..!

Sasa kama unaambiwa hataki kwa nini unamvua nguo mtoto wa watu..haihitaji kulazimishana..
 
kwa mtaji huu inamaana wanawake wako mbioni kuanza kutongoza wanaume sasa hapo tutapona kweli
 
Back
Top Bottom