kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
wasira kumbe bado anapumua?Mkuu Mimi nimemsikia na Masatu Wasira,amenena kwamba,ili uwe MZALENDO wa kweli lazima ujue historia ya nchi imetoka wapi,kwa maana lazima utambue waliyoyafanya waliokutangulia,siyo kubaki kusema naifia nchi.Wasira anasema nchi ipi wakati hata hujui nchi ilikotoka.