Sana, then kama hatuzibi UFA tunakwenda kujenga ukuta siku si nyingi, coz tumeandaa kina mama kwa muda wa kutosha ila vijana wakiume wamesahaulika, sasa mama akishakuwa na nguvu economical, social, na hata kifikra ni ngumu mwanaume kukubali hiyo hali kutokana na nature

Nature inataka mwanaume awe na nguvu kiuchumi, kifikra na kimawazo alafu mwanamke awe kawaida ili maisha yaende
Dunia tunayoelekea ni kinyume chache, sasa tayari TAASISI ya familia inaharibika kuanzia kwenye Mizizi yake
Kikubwa tuwahimize wafanye Kazi zozote hakuna Kazi ya mwanamke au mwanaume.

Kama kuuza mboga uza,kufanya mgahawa fanya,kuchoma mahindi fanya maana wadada wanafanya Kazi zote ambazo wanaume wanafanya pia
 
Mtu ana comment hapa anasema hapa Dar huwezi kosa kazi ya laki mwezi afu hasemi wapi....!!

Mwingine sijui ulinzi sawa ulinzi kazi zipo toa code kizazi kampuni gani watu wafike wakajaribu bahati zao..

Sio lawama tu
Nimemuona huyo jamaa sema nikamchunia maana mtu ambaye anaongea hivyo hawez kuwa na shida ya njaa
 
Mkuu Ahsante kwa kuwakumbusha hawa madogo
Ingawa post yako haitasomwa na wengi wao
Mimi niongelee zaidi kwenye wanaume kusahau wajibu wao kama wanaume kwenye familia zao
Once umeamua kuowa!! Jua kwamba kila kitu kwenye familia yako wewe ndio responsible kulijibia na kulimaliza
Ajabu ni kua wanaume tumepoteza sifa yakiume
Tumeingizwa kitu kinaitwa haki sawa!!
Ni aibu
Pesa ya mwanamke ni yakwake
Yeye aamue kufanya kwa familia(hata akigoma usigadhabike)


Ndio maana hua nasema ikiwa hauko tayari kuowa usiowe!
 
Hiyi ndio nchi ya kulaumiana kama mafisi ooh vijana ooh wavivu maleZ yenyewe mnatoa ya hovyo mzaz unalidekeza litoto kama yaii la bora la kuku kunasehem ukilibinya hata uwe mbavu vp hupasui afu mnawalaunu mnakera sana wazaz na malezi yenu ya hovyo achen tuvune tulicho panda wazazi wa kileo mmechangia haya fuluuu stopuu
 
hii nchi bana
mmoja kamaliza form four kafeli kaingia kitaa kaanza kupambana .
wa pili kamaliza form four kaenda 2 years advance plus 3 to 4 years chuo kikuu halafu akirudi mtaani anatakiwa akaanzie pale mwenzake wa form four alipoanzia. shame

Solution sio kutupigia kelele
1. serikali itengeneze ajira za kutosha
2.mfumo wetu wa elimu uangalie swala la kumuandaa mtoto katika mazingira ya kujiajiri

mtu anaenda shule akijua anaondokana na shurba za kuja kuanza kuendesha bodaboda leo hii amemaliza unamrudisha kule alikokimbia. huu ni upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Ahsante kwa kuwakumbusha hawa madogo
Ingawa post yako haitasomwa na wengi wao
Mimi niongelee zaidi kwenye wanaume kusahau wajibu wao kama wanaume kwenye familia zao
Once umeamua kuowa!! Jua kwamba kila kitu kwenye familia yako wewe ndio responsible kulijibia na kulimaliza
Ajabu ni kua wanaume tumepoteza sifa yakiume
Tumeingizwa kitu kinaitwa haki sawa!!
Ni aibu
Pesa ya mwanamke ni yakwake
Yeye aamue kufanya kwa familia(hata akigoma usigadhabike)


Ndio maana hua nasema ikiwa hauko tayari kuowa usiowe!
Unakunywa soda gani Kelphin K
 
Ni kweli Wanaume wengi sikuhizi wamekuwa nyoronyoro, hovyohovyo, mafuta mafuta,mdebwedo

Kumbafu kabisa, uvivu tu na kuchagua kazi
 
Umelipa million zaidi ya kumi kugharamia elimu kisha uishie kubeba zege my friend? Na hao droputs wafanye nini?

Kwanini msishawishi watu kufanya mega projects kupitia kampuni? Watu waji organize wafungue kampuni zao maisha yaanzie huko! Kwa hili hata mzazi atashawishika!
Uswahilini watasema umelogwa yani
 
dah nmesoma comment zote kwenye huu uzi but sitopenda kudhihaki pande yoyote kati ya ke au me.

jambo la muhimu napnda mleta thread atambue ni kwamba maisha ni safari na mpngaji ni mungu hivyo kama safari yako imeanza usimseme mwenzio ambae hajaanza kwa kumuona mzembe,hii itakusaidia sana endapo ndani yasafari yko ukaanguka

nashukuru kwa nilipofikia mungu ni mkubwa mapambano yaendelee
Ahhh.. mbona Kinyonge sana mkuu
 
Huwa sipendi kufikia kwa mtu nikienda mahali popote,afadhali nilale nje kabisa

Ukiwa huna kitu unaonekana goigoi/mzigo kabisa,ukiwa na pesa hata ndugu usio wafahamu watakuomba angalau hata siku moja ufike kwao
 
Hongera mtoa mada...vijana hata hawataki kwenda vijijini,..wengi uamini ya kwamba maisha mazuri yako mjini..wakifika mjini ni mwendo wa viduku na vi suruali vya kubana...hawataki kufanya kazi..hawawezi hata kulima...ni aibu kwa taifa tunapaswa kutafakari upya
 
Mkuu labda nikupe mifano:

Gardaworld hawapokei rushwa hata 100 ila masharti yake tu yatakukimbiza kama huna.

Nenda G1 security hakuna rushwa kabisa, tena wao wanataja tu cheti cha kuzaliwa hata kama Drs 7.

Nenda Simplisafe siku hiyo hiyo unapata kazi.

G4S ndio huwa rushwa fulani hasa wakati wa stage za mitihani.
Stori za vijiweni. Huko kote kazi hamna.
 
kuvuta bangi na huna kazi ya kukuingizia kipato hiyo ni kuishi kwa makusudi
kamari,kubeti,zinaleta uvivu sana kwa vijana na hii itaendesha wengi kama farasi wa mashindano
watu watiie bidii
 
Back
Top Bottom