corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
Shamima anafaa sana kuwa mke mwemaIla Shamima anasema yeye hakujihusisha na vitendo vibaya ,yeye alikuwa anamtunza huyo aliyekuwa mume wake na wala hajui kushika silahaView attachment 1027683
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Shamima anasema yeye hakujihusisha na vitendo vibaya ,yeye alikuwa anamtunza huyo aliyekuwa mume wake na wala hajui kushika silahaView attachment 1027683
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump + Mike Pompeo wamegoma kuwapokea. Wazazi wake ni watu wenye asili ya Yemen. Aliondoka bila kufuata taratibu . Aendelee na ugaidiHoda muthana wa Alabama na Shamima mabinti wadogo sana waliokuwa majiunga na kikundi cha ISIS wakitokea nchi za magharibi,baada ya ISIS kuvunjika wanaomba kurudi nchini kwao ila nchi zao wamekataa kuwapokea ,mfano Uingereza inasema inamfutia uraia Shamima
Je vijana wa kibongo mpo tayari kuchukua mizigo hiyo ili mkaanzishe familia na watoto wa kizungu?View attachment 1027664View attachment 1027666
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao bado wako kazn wanataka kutekeleza mashambulio. ...Hoda muthana wa Alabama na Shamima mabinti wadogo sana waliokuwa majiunga na kikundi cha ISIS wakitokea nchi za magharibi,baada ya ISIS kuvunjika wanaomba kurudi nchini kwao ila nchi zao wamekataa kuwapokea ,mfano Uingereza inasema inamfutia uraia Shamima
Je vijana wa kibongo mpo tayari kuchukua mizigo hiyo ili mkaanzishe familia na watoto wa kizungu?View attachment 1027664View attachment 1027666
Sent using Jamii Forums mobile app