mzee ameshika mkasi wake tayari kwa kukata utepe.....kazi zingne hiz
Mi sielewi shughuli za chama na serikali hazitengwi.......leo kutachimbika.......\tunduma wananchi wamejenga \soko lao wenyewe kwa kuchangishana baada ya kuungua leo anataka sifa bilal ataijua tu leo \tunduma
Mi sielewi shughuli za chama na serikali hazitengwi.......leo kutachimbika.......\tunduma wananchi wamejenga \soko lao wenyewe kwa kuchangishana baada ya kuungua leo anataka sifa bilal ataijua tu leo \tunduma
Nimepata taarifa toka kwa mdau aliyeko Tunduyma kuwa, kuna ratiba ya Makamu wa Rais kutembelea na kuhutubia mkutano huko Tunduma, sasa jana polisi walipita kwenye vijiwe vyote vyenye bendera za CDM na kuziondoa. sasa kilichotokea leo vile vijiwe vyote bendera za CDM zimerudi na kama haitoshi zingine zimewekwa karibu na jukwaa atakalohutubia makamu wa rais na wamesema wanasubiri kuona nani wa kwenda kuondoa bendera hizo. Mwenye taarifa zaidi atujuze wakati naendelea kufuatilia kitakachoendelea.
Swali zuri..! au tungesema ameenda kufungua soko la wanahchama wa chama cha mapinduzi au wanatunduma wote? Hivi zingekuwa zinapepea bendera za CCM polisi wangefanya ujinga kama huu?bilal kaenda kichama au kiserikali?