Vijana vyuo vikuu waikana UKAWA hadharani

Vijana vyuo vikuu waikana UKAWA hadharani

Hakuna msomi anayeweza akamuunga mkono fisadi kama mamvi na maigizo ya ukawa
 
Ulofa si lazima utamkiwe bali hata mtu mwenyewe unaweza ukaona kutokana na majibu ya wenzako kwako. Hakuna kijana hata mmoja anafurahia mikopo yenye adha anayoahidi Magufuli. Lowassa ndiye jibu la wanachuo kikuu
 
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.

Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.

Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.

Naona leo umefungua zaidi ya thread 3 kwa wakati mmoja, pole sana aisee maana unaimba ngonjera zisizo na muitikiaji😎
 
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.

Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.

Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.

Wewe mtoto wa kiume utabebeshwa mimba kupitia masaburi yako kwa umbea!!
 
Natabiri ccm ikirudi tena migomo itaongezeka
 
Vyuo vikuu nchini 'kusadikika' au Tanzania?
 
Mimi ni moja wao toka udsm tumewakataaaaa mbali na kutuambia etiiiiiiiiii watutumie nauli tuje kuwapigia kura cc tumewakataaa

Sikujua kwamba hii nayo ni product inayo andaliwa UDSM. Yaani kusoma tu ule mtiririko wa uandishi, unajua tu kwamba hili nalo ni GARASA.
 
Sisi vijana hatuwezi kudanganywa na mzee huyu asiye na dira wala mwelekeo. Magufuli hoyee.

Wewe kila leo unaonekana Lumumba kwenye foleni ya buku saba hicho chuo unasomea ndotoni. Hata kama ulikuwa na kichinjio cha kupigia kura nina wasiwasi ulishakipiga bei.
 
Nyie CCM endeleeni na huu uzushi wenu na porojo ILA WATANZANIA TUTAMPIGIA KURA LOWASSA KESHOKUTWA. hatudanganyiki tenaaa....!!!
mbona nyie ndio mmedanganyika. magamba ya ccm yameuziwa cdm na ndio maboss wapya wa chadema/ukawa. sijui hamdanganyiki kitu gani wakati mbowe kawageuza wapumbavu. sisi oct 25 tunamchagua mtu muadilifu na mchapa kazi john pombe magufuli. hapa kazi tu.
nyie kaeni tu kalakabao
 
Acha kupotosha watu wewe ! Wanafunzi wote wanajua na wamechoshwa na balaa la ccm kwa upande wao .


. Ni kweli ccm ni mizigo tena mafisadi wamejaa huko na wengine wamehamia Cdm.......ila kwa kitendo cha cdm kumsimamisha Lowass kuwa ndio rais wa chama.....nimekataa ntampigia MAKUFULI.....baada ya uchaguzzi nahamia ACT WAZARENDO......
 
Kumbe miaka 46 bado kijana

Mkuu Geee,huyo ni mnufaika mkubwa sana wa mfumo wa elimu ya CCM iliyokuwa na lengo la kuwafanya Watanzania mbululaz.Sasa mtu ambaye amezaliwa na uwezo wa chini kabisa wa "common sense" kama mleta uzi "and associates",inaweza chukua hata karne nzima kugundua kuwa maana ya "CCM ni ile ileee" ni "hakuna mabadiliko chanya".
 
Acha kupotosha mkuu,wanachuo viongoz uliwapata wap sasa hv wapo likizo.

7
 
Eti wanafunzi wa vyuo vikuu.. nyooo. labda kama chuo kikuu unasoma mwenyewe. lakini kama chuo kikuu ni taasisi,basi usijifanye kuwa msemaji wa wanachuo.Mimi nimechoshwa na ukandamizwaji unaofanywa na utawala wa ccm.Hiyo siyo siri,tuache ushabiki usio na msingi. Anayeshabikia labda kaahidiwa ujumbe wa mtaa!

Umechoshwa na ccm au na viongozi waliofikisha hapa ilipo ccm wakiwemo lowassa na ndugu sumaye na mzee kingungu?
 
Back
Top Bottom