as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,256
- 598
Sisi vijana hatuwezi kudanganywa na mzee huyu asiye na dira wala mwelekeo. Magufuli hoyee.
usitujumuishe....
Sisi vijana hatuwezi kudanganywa na mzee huyu asiye na dira wala mwelekeo. Magufuli hoyee.
acha uwongo wako ww acha kutumika kuwachafua vijana wa vyuo vikuu wanajielewa hawajashikiwa akili wana akili zao hazitumiw na mtuBaadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Kiongozi kwa kila chuo ni mmoja lakini wanavyuo ni wengi hivyo msimamo wa mmoja hauwezi kuwakilisha watu wote kwa kununuliwa kwake