mbongombishi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 593
- 309
Halafu ndugu makoko jumanne,si kila chuo kinachotoa shahada ni chuo kikuu.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Nyie CCM endeleeni na huu uzushi wenu na porojo ILA WATANZANIA TUTAMPIGIA KURA LOWASSA KESHOKUTWA. hatudanganyiki tenaaa....!!!
Hacha umalaya wewe. sisi tumefunga mpaka november, sasa wewe ume kaa na nani mpaka ulete uchangudoa wako?Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Unaongelea watanzania wepi wewe mbona una generalise mambo?
Mkuu Geee,huyo ni mnufaika mkubwa sana wa mfumo wa elimu ya CCM iliyokuwa na lengo la kuwafanya Watanzania mbululaz.Sasa mtu ambaye amezaliwa na uwezo wa chini kabisa wa "common sense" kama mleta uzi "and associates",inaweza chukua hata karne nzima kugundua kuwa maana ya "CCM ni ile ileee" ni "hakuna mabadiliko chanya".
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Kwahiyo wanakubali kutumika na nani ikiwa wamekataa kutumika na UKAWA! Maana hatukujua kuwa huwa wanatumika...msomi anaandika haya inashangaza sana.Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Sisi vijana hatuwezi kudanganywa na mzee huyu asiye na dira wala mwelekeo. Magufuli hoyee.
Baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wamekataa kutumiwa na UKAWA kwa maslahi yao kwa kuwa wamesema hawaoni faida yoyote.
Baadhi yao toka UDSM, IFM, SAUT, TUMAINI na UDOM wametoa kauli hizo wakati wa mkutano wa ndani ambao hata hivyo mtoa post alishiriki.
Je hii ni ishara kwa wanafunzi wamemkataa mamvi.
Siku hizi machangudoa wameanza style ya kujiita wanachuo ili wapandishe bei...