Vijana tuungane tujiajiri

np tayar ila nipo dar 0659865639 ku pm cjui ndo mana nimeweka no.
 
kaka nko tayari kukutafutia masoko hapa dsm # 0654907899
 
hii project ni nzuri ikiwepo nia ya dhati na kuna namna mbili hapo! either kukodi mashamba na kulima or kununua mashambani na kupeleka ktk mkoa ambao bidhaa husika inatoka!
binafsi nina experience fulan! tutashauriana huko pm.
Lakin kuweni makini maana matapeli wengi siku hizi
 
SAMAHANI KIDOGO MKUU,

VIPI HAKUNA MIRADI YA UDUFUAJI HAPA??
 
bro bado unafanya hii ishu...?
 
mm nipo mbeya nalima sana viaz na karot natafuta mtu ambaye yupo dar tufanye biashara hii lakin awe muaminifu kama huwa si muaminifu mtu kwenye pesa..ambaye tupo tayar ani pm lakin awe anajua hii biashara ya kuuza kiaz hapo mabibo.temeke au sehem yoyote dar
 

aise nimependa wazo lako mm pia nikijana naomba uweke namba yko nikucheki mida hi nakuomba
 
Mm napenda sna kilimo na ss naadaa kulima niko naishi dar ila Niko na shamba Moro nalima kilimo cha umwagiliaji karibuni vijana kujiajiri
Kama hautojali naomba unipm nahitaji msaada wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…