wakwatito
Member
- Apr 15, 2018
- 30
- 49
Kuna Umri fulani ukifika, kama kijana ni vyema utafute binti mmoja mtengeneze chemistry yenu, mjengane kimaisha katika misingi ya uwazi, ukweli, na uhalisia siku moja mje kuoana.
Ni hatari kwa kijana atafutaye maisha kuanza kurukaruka na kumangamanga huku na kule ktk mahusiano.
Ni hatari kwa kijana atafutaye maisha kuanza kurukaruka na kumangamanga huku na kule ktk mahusiano.