Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji

Njoo kanisani kwagu nikuombee ushinde betting lakini njoo na sadaka isiyopungua elf20
Screenshot_20240311-215536_X.jpg
 
Tatizo unaingia kichwa kichwa kubet aviator unaformula yke Kuna namna ya kutafuta purple 🟣 na pink 🩷 huu formula inakupa ujuzi wa kujua pink inakuja dk ngap na sekunde ngap na purple hivyohivyo wazungu kila wanavyuoni kitu huwa inaformula zake kama unavyoona forex kama ulihitaji kujifunza aviator me nafundisha kwa bei nafuu tu kama bure unaweza nitexts whatssap kw anayetaka kujua 0718551927
 
Katika aviator sio kila muda wa kuingia kuna tinlme entry na time exist Kuna stable market na unstable market unatakiwa ufahamu hapa kwanza utakuwa umejifunza kitu kitakusaidia nina mbinu nying sana key code mapigo ya aviator namba yangu nmeweka mwenyekunitafuta ndoa njia ya kukimbia umasikini
 
Tatizo unaingia kichwa kichwa kubet aviator unaformula yke Kuna namna ya kutafuta purple 🟣 na pink 🩷 huu formula inakupa ujuzi wa kujua pink inakuja dk ngap na sekunde ngap na purple hivyohivyo wazungu kila wanavyuoni kitu huwa inaformula zake kama unavyoona forex kama ulihitaji kujifunza aviator me nafundisha kwa bei nafuu tu kama bure unaweza nitexts whatssap kw anayetaka kujua 0718551927
Acha tamaa
 
Mleta mada hujawahi kuona mtu:-
1. Kafungua duka, bar, saloon, hoteli, n.k halafu vikafa kabla ya kumpa faida?
2. Kalima shamba, kafuga, n.k halafu hakuna alichopata?
3. Kagombea udiwani, ubunge ama urais kwa kutumia rasilimali zake nyingi halafu kaangukia pua?

4. Kajenga jumba kubwa akafa siku 2 kabla ya kuhamia, kanunua mabasi yakaungua wiki 1 baada ya kuanza route.

Nataka kusema nini hapa?

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba kila kitu ktk maisha ni kubahatisha (kubeti).

Hivyo wanaobeti ktk mpira waendelee kama wengine wanavyoendelea ktk nyanja nyingine
 
hao vijana wamelala kazini kama ambavyo manesi wanalala kazini kama ambayo polisi wanalala kazini nyani haoni kundule social media pia inalemaza akili, ukikutana na mfanya biashara atakwambia ajira inakudumaza uwezo wako wa kufikiri, utakutana na mwanamke ambae hafikirii maendeleo naye atakulemaza akili, utakutana na mtu anakwambia ukikaa kijijini akili italemaa, mwingine atakwambia kuangalia mpira kutakulemaza akili hutafikiria vitu vya muhimu, maisha buana popote pale utachanganyikiwa kama wewe ni wakuchanganyikiwa.
 
Kuna makala hapa JF ya wacheza mpira maarufu huko Ulaya, waliolipwa mabilioni ya fedha, baada ya kustaafu wamefilisika kabisa, wamepanga hadi vyumba vya kuishi sababu ya kubet, endeleeni kusema Ni sayansi
 
Back
Top Bottom