Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ushauri kwa vijana wenzangu.
Badala ya kujenga nyumba , ni kheri ukanunua maeneo / mashamba huku na huko badala ya kukimbilia kupandisha nyumba.
Thamani ya ardhi inapanda kila kukicha.
Mfano badala ya kununua Alteza ya 13 mil , una uwezo wa kununua mashamba hata ekari 4 mpaka 5 tena sehemu nzuri kabisa ambazo unaweza fuga au kulima na pia ukauza hapo baadae kama makazi.
Usikimbilie kujenga nyumba.
Population inaongezeka. Ardhi ni ileile , haiongezeki size.
Fikiria kwa ajili ya watoto wako zaidi kuliko kujifikiria wewe sasahivi.
Baadae itakuwa taabu sana kupata maeneo. Itakuwa shida sana ndugu zangu.
Wazo la jumatatu !
Badala ya kujenga nyumba , ni kheri ukanunua maeneo / mashamba huku na huko badala ya kukimbilia kupandisha nyumba.
Thamani ya ardhi inapanda kila kukicha.
Mfano badala ya kununua Alteza ya 13 mil , una uwezo wa kununua mashamba hata ekari 4 mpaka 5 tena sehemu nzuri kabisa ambazo unaweza fuga au kulima na pia ukauza hapo baadae kama makazi.
Usikimbilie kujenga nyumba.
Population inaongezeka. Ardhi ni ileile , haiongezeki size.
Fikiria kwa ajili ya watoto wako zaidi kuliko kujifikiria wewe sasahivi.
Baadae itakuwa taabu sana kupata maeneo. Itakuwa shida sana ndugu zangu.
Wazo la jumatatu !