Vijana ni wakati wa kuchangamkia fulsa na kuacha kulalama hovyo

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Toka Serikali ya awamu ya tano ya Mh Rais Magufuli imeingia madarakani November mwaka 2015 tunaona mambo mengi yakifanyika hasa miradi mikubwa ambayo inazalisha ajira lukuki kwa watanzania lakin pia fulsa zingine kama kutoa huduma mbalimbali kwenye miradi hii kama SGR..stiegles rufiji na kwenye secta ya kilimo. Raia yangu kwa watanzania hasa vijana changamkieni fulsa hizi na kuacha kulalamika muda wote.Hii awamu ya tano ndo kuna fulsa nyingi kimsingi tu uwe mwaminifu maana zile zama za janja janja hamna tena. Viva Rais Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka Serikali ya awamu ya tano ya Mh Rais Magufuli imeingia madarakani November mwaka 2015 tunaona mambo mengi yakifanyika hasa miradi mikubwa ambayo inazalisha ajira lukuki kwa watanzania lakin pia fulsa zingine kama kutoa huduma mbalimbali kwenye miradi hii kama SGR..stiegles rufiji na kwenye secta ya kilimo. Raia yangu kwa watanzania hasa vijana changamkieni fulsa hizi na kuacha kulalamika muda wote.Hii awamu ya tano ndo kuna fulsa nyingi kimsingi tu uwe mwaminifu maana zile zama za janja janja hamna tena. Viva Rais Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu rudia. Kusoma ulchoandika, Tambua ya kuwa tunataka FURSA. Hizo fulsa unazijua wewe na jopo lako.
 
Umeandika tu kiashki ashki. Huko Stiglers na Miradi mingi vijana wanapeleka huduma kwa mawe. Hakuna awamu itawaacha vijana ombaomba kama hii.
 
Toka Serikali ya awamu ya tano ya Mh Rais Magufuli imeingia madarakani November mwaka 2015 tunaona mambo mengi yakifanyika hasa miradi mikubwa ambayo inazalisha ajira lukuki kwa watanzania lakin pia fulsa zingine kama kutoa huduma mbalimbali kwenye miradi hii kama SGR..stiegles rufiji na kwenye secta ya kilimo. Raia yangu kwa watanzania hasa vijana changamkieni fulsa hizi na kuacha kulalamika muda wote.Hii awamu ya tano ndo kuna fulsa nyingi kimsingi tu uwe mwaminifu maana zile zama za janja janja hamna tena. Viva Rais Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
Umepost ukiwa chooni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sera za nyerere bado zipo huko Tanzania??? Mm npo Zambia nmepangiwa ubalozi huku aiseee kama mafichoni tu RAIA wananishangaa tu
 
Mzee baba omba mod wakubadilishie heading, humu watu wanakazana na grammar kuliko content
 
Hiyo content yenyewe haieleweki,hajasema hawa vijana maskini wasio na mitaji,waliomaliza vyuo wafanye nini kuzichangamkia hizo FULSA
Mzee baba omba mod wakubadilishie heading, humu watu wanakazana na grammar kuliko content
 
Toka Serikali ya awamu ya tano ya Mh Rais Magufuli imeingia madarakani November mwaka 2015 tunaona mambo mengi yakifanyika hasa miradi mikubwa ambayo inazalisha ajira lukuki kwa watanzania lakin pia fulsa zingine kama kutoa huduma mbalimbali kwenye miradi hii kama SGR..stiegles rufiji na kwenye secta ya kilimo. Raia yangu kwa watanzania hasa vijana changamkieni fulsa hizi na kuacha kulalamika muda wote.Hii awamu ya tano ndo kuna fulsa nyingi kimsingi tu uwe mwaminifu maana zile zama za janja janja hamna tena. Viva Rais Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
kwakwelu mirad mikubwa ipo, mm mwenyewe sikuamin kama ipo siku ntamkula bi mkubwa wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom