Vijana na utumwa wa siasa

Vijana na utumwa wa siasa

cardiologue

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
351
Reaction score
90
Vijana watz wengi ni mbumbumbu na watumwa wa siasa.Kwa mujibu ya sensa ya watu na makazi zaidi ya 60% ya watanzania ni vijana.Cha kuhuzunisha zaidi vijana hawa kila kukicha wanazidi kumiminika kushabikia siasa wakidhani ndio mkombozi wa maisha yao, well sio mbaya ila ubaya unakuja pale tunapoelekea uchaguzi na hakuna hata kijana kutoka upinzani aliyeonesha nia ya kuongoza taifa hili lenye idadi kubwa ya vijana.....yani wote ukiwauliza nani afaa kuwa rais utasikia MBOWE, SLAA, LIPUMBA yani woooote wamepigwa upofu wajione kwamba hawafai kwa nafasi ya urais.Kazi ya vijana wa leo ni kulinda masunduku ya kura na kuingia barabarani kwa ajili ya maandamano.IKUMBUKWE MWALIMU ALIINGIA MAGOGONI AKIWA KIJANA WA MIAKA37 tu.One love kwa vijana MWIGULU NCHEMBA, JANUARY MAKAMBA, HAMIS KIGWANGALA kwa uthubutu walioonesha.RESPECT kwa ZZK ingawa walikuita msaliti fikra zako zilieleweka.





Mimi ni kijana huru nisiye na mihemuko ya vyama, najali maslahi ya taifa langu, sifungamani na chama chochote please moods usitupie kapuni.
 
Vijana watz wengi ni mbumbumbu na watumwa wa siasa.Kwa mujibu ya sensa ya watu na makazi zaidi ya 60% ya watanzania ni vijana.Cha kuhuzunisha zaidi vijana hawa kila kukicha wanazidi kumiminika kushabikia siasa wakidhani ndio mkombozi wa maisha yao, well sio mbaya ila ubaya unakuja pale tunapoelekea uchaguzi na hakuna hata kijana kutoka upinzani aliyeonesha nia ya kuongoza taifa hili lenye idadi kubwa ya vijana.....yani wote ukiwauliza nani afaa kuwa rais utasikia MBOWE, SLAA, LIPUMBA yani woooote wamepigwa upofu wajione kwamba hawafai kwa nafasi ya urais.Kazi ya vijana wa leo ni kulinda masunduku ya kura na kuingia barabarani kwa ajili ya maandamano.IKUMBUKWE MWALIMU ALIINGIA MAGOGONI AKIWA KIJANA WA MIAKA37 tu.One love kwa vijana MWIGULU NCHEMBA, JANUARY MAKAMBA, HAMIS KIGWANGALA kwa uthubutu walioonesha.RESPECT kwa ZZK ingawa walikuita msaliti fikra zako zilieleweka.





Mimi ni kijana huru nisiye na mihemuko ya vyama, najali maslahi ya taifa langu, sifungamani na chama chochote please moods usitupie kapuni.

Kwa hiyo hasira zako ni kwa kuwa waliwataja Mbowe,Slaa na Lipumba kufaa kuwa Rais?
 
Wewe utatumika sana naona ile arufu ya toilet paper imewadia lakini kwakifupi chadema hatugawani madaraka tunagawana majukumu hata huyu anayemaliza mdaa wake alingia akiwa kijana lakini sasa hivi wakwanza kulia nivijana
 
You must be Genius, Ukweli mtupu hapo, sasa subiri mimi kama kijana Nitangaze nia Uone wajinga watakavyoandika mpaka kile nilichokisoma vidudu, familia nilokulia, na kadhalika,

vijana tuamke tuache siasa za mitandao na ifikie hatua tuwe na Udhubutu na tujiamin kuwa tunaweza.
 
Vijana watz wengi ni mbumbumbu na watumwa wa siasa.Kwa mujibu ya sensa ya watu na makazi zaidi ya 60% ya watanzania ni vijana.Cha kuhuzunisha zaidi vijana hawa kila kukicha wanazidi kumiminika kushabikia siasa wakidhani ndio mkombozi wa maisha yao, well sio mbaya ila ubaya unakuja pale tunapoelekea uchaguzi na hakuna hata kijana kutoka upinzani aliyeonesha nia ya kuongoza taifa hili lenye idadi kubwa ya vijana.....yani wote ukiwauliza nani afaa kuwa rais utasikia MBOWE, SLAA, LIPUMBA yani woooote wamepigwa upofu wajione kwamba hawafai kwa nafasi ya urais.Kazi ya vijana wa leo ni kulinda masunduku ya kura na kuingia barabarani kwa ajili ya maandamano.IKUMBUKWE MWALIMU ALIINGIA MAGOGONI AKIWA KIJANA WA MIAKA37 tu.One love kwa vijana MWIGULU NCHEMBA, JANUARY MAKAMBA, HAMIS KIGWANGALA kwa uthubutu walioonesha.RESPECT kwa ZZK ingawa walikuita msaliti fikra zako zilieleweka.

Mimi ni kijana huru nisiye na mihemuko ya vyama, najali maslahi ya taifa langu, sifungamani na chama chochote please moods usitupie kapuni.

Yawezekana ukawaona wale wanaowapenda Lipumba,Mbowe na Dr.Slaaa ni Mbumbu au Watumwa wa kisiasa,hebu jiweke kwenye miguu yako kama na wao wakikuita Mbumbu sababu tu mko tofauti kwenye mawazo yenu?

Yawezekana unawaona hao uliowataja ni WAZURI sana na umewapa promo ya kutosha lakini kuna tunao waona hawana chochotecha maana watakachokileta kwa TAIFA.Binadamu tulizaliwatofauti na ndiyo maana kila mtu ana mawazo yake.

Binadamu tupo kama vidole vya mikono yetu,kila kimojakina namna yake au umbo lake.Kirefu,chembemba nk nk.

Tuheshimiane katika kukabili tofauti za mawazo yetu.

Kila Mtanzania ana UHURU wa mawazo mradi havunji sheria ya NCHI.Hata mie pamoja na kwamba siyo KIJANA ,bado nisingemchagua yoyote kati ya hawa.:Nchemba,Lowassa,January,Ngeleja,Zitto na vijana na wazee wote walio ndani ya CCM waliojinadi wagombea URAIS
 
Wewe utatumika sana naona ile arufu ya toilet paper imewadia lakini kwakifupi chadema hatugawani madaraka tunagawana majukumu hata huyu anayemaliza mdaa wake alingia akiwa kijana lakini sasa hivi wakwanza kulia nivijana

ukitaka chadema uchukiwe aombe kijana msukuma au kabila lisilo la kichaga agombee urais utaona utapigwa majungu mpaka utoke na kuhoji mapato hufiki mbali
 
Kwa hiyo hasira zako ni kwa kuwa waliwataja Mbowe,Slaa na Lipumba kufaa kuwa Rais?
Braza ben hizo sio hasira zangu, nahuzunika kuona vijana wanatumika.Haina haja ya kutumia nguvu, jazba na panic wakati wa kujibu kiukweli vijana ndio wanaweza kuleta mabadiliko kama sio transformation katika taifa.Naheshimu wazee, ila wao watafaa zaidi wakitumika kutushauri vijana.
 
Kwa hiyo hasira zako ni kwa kuwa waliwataja Mbowe,Slaa na Lipumba kufaa kuwa Rais?

saa nane umekurupuka hujaelewa mantiki halisi ya huu Uzi, mtoa maada hayuko bias ila unataka kumlisha maneno aonekane kuwa alilenga kusema kuhusu Upinzani

njoo na hoja sio kukinga kifua tuu kwenye mambo ya msingi, Ni aibu kwako kuendelea kutumika kumwatamia mtu ati asitajwe, lol Umaskini wa fikra ndio huu
 
Yawezekana ukawaona wale wanaowapenda Lipumba,Mbowe na Dr.Slaaa ni Mbumbu au Watumwa wa kisiasa,hebu jiweke kwenye miguu yako kama na wao wakikuita Mbumbu sababu tu mko tofauti kwenye mawazo yenu?

Yawezekana unawaona hao uliowataja ni WAZURI sana na umewapa promo ya kutosha lakini kuna tunao waona hawana chochotecha maana watakachokileta kwa TAIFA.Binadamu tulizaliwatofauti na ndiyo maana kila mtu ana mawazo yake.

Binadamu tupo kama vidole vya mikono yetu,kila kimojakina namna yake au umbo lake.Kirefu,chembemba nk nk.

Tuheshimiane katika kukabili tofauti za mawazo yetu.

Kila Mtanzania ana UHURU wa mawazo mradi havunji sheria ya NCHI.Hata mie pamoja na kwamba siyo KIJANA ,bado nisingemchagua yoyote kati ya hawa.:Nchemba,Lowassa,January,Ngeleja,Zitto na vijana na wazee wote walio ndani ya CCM waliojinadi wagombea URAIS
U mbumbumbu sio kumshabikia mbowe, slaa na lipumba hata makaidi....u mbumbumbu ni pale wanapotumika kupigwa ganzi wajione hawawezi na kubaki na kazi ya ulinzi tu....mfano wale mgambo walioapishwa juzi kati Mbeya
 
Braza ben hizo sio hasira zangu, nahuzunika kuona vijana wanatumika.Haina haja ya kutumia nguvu, jazba na panic wakati wa kujibu kiukweli vijana ndio wanaweza kuleta mabadiliko kama sio transformation katika taifa.Naheshimu wazee, ila wao watafaa zaidi wakitumika kutushauri vijana.
Ila unakubali kusifiwa kwa EL.
 
You must be Genius, Ukweli mtupu hapo, sasa subiri mimi kama kijana Nitangaze nia Uone wajinga watakavyoandika mpaka kile nilichokisoma vidudu, familia nilokulia, na kadhalika,

vijana tuamke tuache siasa za mitandao na ifikie hatua tuwe na Udhubutu na tujiamin kuwa tunaweza.
Nashukuru, tunahitaji vijana kama wewe tuwaunge mkono...jitokezeni mtangaze nia...
 
U mbumbumbu sio kumshabikia mbowe, slaa na lipumba hata makaidi....u mbumbumbu ni pale wanapotumika kupigwa ganzi wajione hawawezi na kubaki na kazi ya ulinzi tu....mfano wale mgambo walioapishwa juzi kati Mbeya
Kwa hyo imekuuma sana kuona Vijana wakakamavu wakiweka ulinzi kulinda vyama vya upinzani?
 
Ila unakubali kusifiwa kwa EL.
Palipo na mazuri yake acheni asifiwe, palipo na ubaya wake akubali kupondwa tu...tubadili mtazamo wa fikra zetu, tusiwe watumwa wa watu na siasa, tujipange kuikomboa tanzania sisi vijana kutoka mikono ya wanyang'anyi kama ilivokuwa kwa mwalimu na wenzake wakati ule.
 
Bwana mdogo ngoja nikushauri kitu kimoja

Acha kunywa viroba mchana

Athari zake ndizo kama hizi.

Sikiliza nikwambie...IKULU sio sehemu ya kukimbilia

Anaeikimbilia ikulu huyo hatufai
 
Still bado sijaitwa katika siasa, naamini katika taaluma yangu kuleta maendeleo.

Sasa kama unaamini katika taaluma yako nini kimekuleta huku,we ni nani kwetu mpaka uje utushauri sisi...unaamini hiyo taaluma iko nje ya mfumo wa siasa hapa?magamba bwana naona siku hizi mnakuja kwa kujificha ficha...tuache kafie mbali mbw.a koko
 
Bwana mdogo ngoja nikushauri kitu kimoja

Acha kunywa viroba mchana

Athari zake ndizo kama hizi.

Sikiliza nikwambie...IKULU sio sehemu ya kukimbilia

Anaeikimbilia ikulu huyo hatufai
Kwa hiyo ni wazee tu ndio wanatakiwa wakimbilie ikulu??
 
Back
Top Bottom