sule Genius
Member
- Sep 6, 2014
- 70
- 18
VIJANA wa leo wandhani URAIS ni sawa na kufikia wakati wa KUPOSA na kwenda kutoa POSA,hata huko pia kama hujakua kunakuwa kugumu.
Tumuone huyo rais wa DRC toka ameanza amekuwa na changamoto gani na zipi aliziweza kuzitatua kama RAIS?Hebu tumuangalie leo yuko wapi kama RAIS.
URAIS siyo kwenda DISCO jama,kuna hitaji UWEZO,huyo tuliyenaye ameufanya URAIS unekane kama KUNYWA supu za mbuzi mtaani.
Miaka Kumi yote Tanzania tumekuwa kama TAIFA lisilo na mwenyewe,leo eti vijana wanakuja na kujitangaza ati wanaweza.
Hebu tujifunze na huyu aliyepo MADARAKANi ndipo tuende na hao wanatoa RUSHWA za kila rangi ili waupate huo UKULU wa KAYA.Hawajui URAIS siyo issue ya kuipamba CV tu.
Tuwaombee tu hawa hawajui wasemalo............ wala walitakalo...............
Msukule ulozaliwa kwa ajili ya kutawaliwa,, subiri wale uwaonao wewe kuwa walizaliwa na hati miliki ya Tanzania wakuongoze,
Iron boy thoughts, plato hakukosea, hakuna uthubutu kwenye hii akiki na cha ajabu analilia mabadiliko, katika akili hii kuna inferiority complex na atabaki mpiga makofi katika majukwaa na mpige vigelegele mzuri sana,
maana kwake wanaoweza ama wanaokaa kwenye hicho kiti kwako ni Miungu watu hivo vijana hatuwezi. endelea kupiga vigelegele na makofi kupongeza miungu yako ambayo unadhani wana nguvu ya kuitwaa Tanzania peke yao, maana kwako vijana hawana nafasi.