Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,927
- 30,278
VIJANA NA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MOHAMED SAID NA BELINDA SEMTANDI EATV
EATV wamenihoji vipi vijana wahamasike katika kuyaenzi mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Nimewashauri vijana kwanza waielewe historia ya mapinduzi na nimewaelekeza wasome kitabu cha Dr. Harith Ghassany, "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru," (2010).
Nimezungumza kuhusu vijana kusimamia haki na kupiga vita ubaguzi wa aina yeyote.
Kipindi hiki kitarushwa siku ya kumbukumbu ya mapinduzi tarehe 12 Januari saa mbili kasorobo usiku.
EATV wamenihoji vipi vijana wahamasike katika kuyaenzi mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Nimewashauri vijana kwanza waielewe historia ya mapinduzi na nimewaelekeza wasome kitabu cha Dr. Harith Ghassany, "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru," (2010).
Nimezungumza kuhusu vijana kusimamia haki na kupiga vita ubaguzi wa aina yeyote.
Kipindi hiki kitarushwa siku ya kumbukumbu ya mapinduzi tarehe 12 Januari saa mbili kasorobo usiku.