Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

Tatizo ni kwamba hizo business ideas zinaanzishwa zimeshashindwa tayari.

Let me tell you.

Kuwa na wazo la biashara na kuendesha biashara yenye faida ni mbingu na ardhi.

Watu wengi wanaanzisha Business wakijifikiria wao vile walivyo smart kubuni wazo ambalo wangine hawajui

Hiyo ni pata potea. I learnt my lessons the hard way.

Ukitaka Kutengeneza app au Online Business inayofanikiwa kweli inatakiwa uwe na wateja kama 10 hivi ambao wameonyesha bila shaka wanahitaji hiyo huduma au bidhaa yako hata kabla hujaiingiza sokoni. Does this sound strange? Stupid?

From there utaweza build real business bila kutaabika.

Sasa unajiuliza utawezaje kufanikisha hili?

That is a million dollar question

Kama wewe ni real entrepreneur utakuwa na jibu.

Na huu mtego watu wengi hawauelewi.

There so many useless apps sijui nani anawaambia watengeneze. Lakini kwa upande mwingine ni sawa tu. Ndiyo soko huria hilo.

Mwisho, watu waendelee kubuni tu hizo app lakini wahakikishe wanakuwa na partner anayefahamu kuuza. Lakini pia mtu anayefamau mambo ya organization kwasababu bila hivyo soon mtakosa vision na kila kitu kitasambaratika.
 
Hata kwenye app Usifanye mambo magumu kama kufungua geti sijui kilimo app... fanya app zinazoruhusu watu wa enjoy maisha na wafanye upuuzi.. uone utavyopata watu wengi

Mfano app ya Tik tok ni upuuzi tu.. wanawake wanavyopenda upuuzi wameipokea kwa mikono miwili na imekuwa ndio app inayoongoza kwa profit dunia nzima.. na value yake inapanda kila siku

Wee tengeneza app ya kurahisiha watu kugegedana utapata mihela
 
Watoto, vijana wajikite tu kwenye bongo fleva
Maana Sahv ndicho kitu kinacho thaminiwa

Ova
 
Mkuu tatizo sio ndugu yako tatizo ni wewe,Kwanza kabisa wabongo wengi katika swala la miradi ya teknolojia hawako disruptive zaidi wanafanya copy pasting,wanatengeneza solution ambazo tayari ziko sokoni wanasema wametengeneza kitu kipya na kinaposhindwa kushindana inakuwa tatizo.

Project za teknolojia zinapaswa kufanyika kama hoby zaidi na sionjia ya kupata bingo.Ila usiseme waachane nazo hapana bali wafikirie katika namna ya kutengeneza pesa.Waangalia Changamoto zilizopo katika mazingira yetu kisha walete disruptive technlogy kama hawatamake.Lazima wajifunze kufikiria nje ya BOX ila teknoljia bado inalipa we unaona ngumu kwa sababu sio fani yako.
Africa sabab ya utandawaz tunaruka hatua.sis bado tuko kwenye uchumi wa kilimo na biashara.buying and selling goods za kawaida kabisa..hiz modern economy hazi apply huku kwetu.tuko nyuma sanaaa..miaka 400 nyuma..soo waache hzo..umeme wenyew ni shida.mtu ana waste time na tech za ajabu tena nguum.angalia ziwe rahis basi.user friend
 
Africa sabab ya utandawaz tunaruka hatua.sis bado tuko kwenye uchumi wa kilimo na biashara.buying and selling goods za kawaida kabisa..hiz modern economy hazi apply huku kwetu.tuko nyuma sanaaa..miaka 400 nyuma..soo waache hzo..umeme wenyew ni shida.mtu ana waste time na tech za ajabu tena nguum.angalia ziwe rahis basi.user friend
Mkuu africa lazima iaruke hatua kama tunataka kupiga hatua kama taifa na Bara.Ni lazima hakuna namna.Sasa hivi dunia inaingia kwenye 5G maana yake ni lazima tujiandae na zama za 5G.Tutiane Moyo kwa hakika tutaboa wakati ufikapo
 
Wewe ndo hujielewi....eti unasema Africa bado sasa lini itakua tayari???..
tunaishi mara moja tu hivyo acha kila mtu aishi kivyake apendavyo kwa mtazamo wake na malengo yake na aplay part yake....kama ww unaona wanapoteza muda basi achana nao nenda kafanye yako.....billgate angekusikiliza ww unafikir leo ungepiga hiyo windows10 iliyochakachuliwa kwa buku10?????..

acha ujinga hii ni sababu nyingine ya Africans kutoendelea....kazi kukatishana tamaa na ujuaji uchwara kama wamekuingilia maslahi yako...maisha hayana maana kama unafanya kitu ambacho hukipendi alafu ukiangalia unaishi mara moja eti kisa unapata pesa au unadhani kila mtu masikini??? Blolowanski kabisa..... just live your life and mind your own goddamn business black being....
 
Wadanganye wenzio tu...mchina keshamaliza hzo tech zote tena kwa cheap manufacturing.hakuna jipya..waingize chaka wenzio..wakinga na wachaga wanatajirika kwa kuuza mchele tu
nani amekuambia kila mtu anataka kutajirika???..
 
Mimi nawakubali hao vijana wenzangu sana zaidi ya sana, wana dreams na wanazifanyia kazi katika mazingira magumu mnoo.

Inauma ukiangalia creative and service industry ya bongo katika top management wamejaa wageni tu tena kwa vitu na skills ambazo wabongo tukikaza tunaweza.. ila hata wanaokaza wanaonekana vituko

Nasema tu tusiogope kuwa broke, kutokueleweka ama kudharauliwa. Ni part of process wandugu..
 
Kuna wimbi kubwa la vijana wanahangaika ni kudevelope ma idea ya project kubwa kubwa za kidigitali na ki technolojia mfano.

1. Sijui app ya alarm sjui ya nyumbani ukiwa kazini mtu akifungua mlango unapata notification.

2. Mara program ya visima vya maji umwagiliaji.

3. Mara program ya nin sjui etc etc etc

Vijana wenzangu hiz technolojia na the likes kwa nchi kama yetu hii utasubir sana kwa mwekezaj kuweka hela..vijana weng mnajikita kwenye biashara ngum ngum.kiukwel niwambie hizo hazina helaaaa..africa bado sana

Jikiten kwenye mambo ya kawaida tuu..usiumize kichwa snaa ..we unamwona bakheresa au mo biashara zao...wanauza viberiti, unga, juice etc

Nenda Kariakoo uone matajiri wafanyabiashara wanafanya nini wanauza vitu vya kawaida kabisa.

Kilimo.etc etc....buy and sell vitu rahisi rahisi tuu ..sasa mtu unahangaika weee..daah.

Kilichofanya niandike uzi ni kwamba nina ndugu yangu anamaliza chuo..nimemwambia anipe mchanganuo wa biashara nimpe mtaji yaani unaenda mwez wa sita huu ananipa michanganuo ya ajabu ajabu hadi nauliza amerogwa nini.

Eti karogwa
 
Kutoboa kupo sema you need to work smart not hard.. Soma hapo chini
Kuna wimbi kubwa la vijana wanahangaika ni kudevelope ma idea ya project kubwa kubwa za kidigitali na ki technolojia mfano.

1. Sijui app ya alarm sjui ya nyumbani ukiwa kazini mtu akifungua mlango unapata notification.

2. Mara program ya visima vya maji umwagiliaji.

3. Mara program ya nin sjui etc etc etc

Vijana wenzangu hiz technolojia na the likes kwa nchi kama yetu hii utasubir sana kwa mwekezaj kuweka hela..vijana weng mnajikita kwenye biashara ngum ngum.kiukwel niwambie hizo hazina helaaaa..africa bado sana

Jikiten kwenye mambo ya kawaida tuu..usiumize kichwa snaa ..we unamwona bakheresa au mo biashara zao...wanauza viberiti, unga, juice etc

Nenda Kariakoo uone matajiri wafanyabiashara wanafanya nini wanauza vitu vya kawaida kabisa.

Kilimo.etc etc....buy and sell vitu rahisi rahisi tuu ..sasa mtu unahangaika weee..daah.

Kilichofanya niandike uzi ni kwamba nina ndugu yangu anamaliza chuo..nimemwambia anipe mchanganuo wa biashara nimpe mtaji yaani unaenda mwez wa sita huu ananipa michanganuo ya ajabu ajabu hadi nauliza amerogwa nini.
And here comes Tanzania’s newest billionaire
 
Mtoa mada njoo weekend hapa Silicon Dar kuna mgahawa unaitwa Startup Restaurant nakuwa na wenzangu tukiDiscusa mawazo huku tukipiga Coding kukamilisha Apps zetu.

Tunakula ma Juice ya takeaway na ma pizza ya kutosha life la Tz lishakuwa kama marekani tu mbona unataka kujitesa.

Kariakoo= New York
Kigamboni= Miami Florida
Kijitonyama = Sanflansisco
Sinza = LosAngels
Posta = WallStreet

Utachagua unapenda nini wazee wa startup tumechagua kijironyama.
 
Mkuu africa lazima iaruke hatua kama tunataka kupiga hatua kama taifa na Bara.Ni lazima hakuna namna.Sasa hivi dunia inaingia kwenye 5G maana yake ni lazima tujiandae na zama za 5G.Tutiane Moyo kwa hakika tutaboa wakati ufikapo
Na ndomana tunafeli..kuruka hatua kunafanya watu wapike data ilimradi.kuruka hatua ndo kunaifanya africa kuwa maskin na tegemez..tunaruhusu mifumo ya dunia ya kwanza i apply africa mwisho wa siku tunachangamana hatuwez fanya lolote sabab kila kitu kinatoka huko kulikoendelea na sis tunabweteka..na ndomana hata inventions znakua ngum sabab kila kitu kiko mezan.ila tungejifungia mipaka na kutoruhusu mchangamano nakwambia sssa hvi tungeweza tengneza magar yetu.dawa zetu.ellimu zetu etc.wataalam wetu.ila sasa ndo hvo tunarukia hatua nyingne ambayo kwetu sis inakua fake sio natural ndomana hatupig hatua
 
Wewe ndo hujielewi....eti unasema Africa bado sasa lini itakua tayari???..
tunaishi mara moja tu hivyo acha kila mtu aishi kivyake apendavyo kwa mtazamo wake na malengo yake na aplay part yake....kama ww unaona wanapoteza muda basi achana nao nenda kafanye yako.....billgate angekusikiliza ww unafikir leo ungepiga hiyo windows10 iliyochakachuliwa kwa buku10?????..
acha ujinga hii ni sababu nyingine ya Africans kutoendelea....kazi kukatishana tamaa na ujuaji uchwara kama wamekuingilia maslahi yako...maisha hayana maana kama unafanya kitu ambacho hukipendi alafu ukiangalia unaishi mara moja eti kisa unapata pesa au unadhani kila mtu masikini??? Blolowanski kabisa..... just live your life and mind your own goddamn business black being....
Mkuu mim nmefkia hatua ya kutoa mikopo kwa startups unasemaje wew..mim napokea project proposals zisizotekelezeka.na kila siku tunawaasa vijana..kua kwa mtazamo huo kama wako mtakufa maskin hawaelew..tatzo na wew bado ni kijana hujui kitu.ila ukikua na kujipanua na kufanya kwel utakuja amin kua hao vijana wanapoteza muda tuu..afirca hatujafika hatua hyo sanasnaa tz...ukikua utanielewa.sasa hvi bado una illusions tuu
 
nani amekuambia kila mtu anataka kutajirika???..
Hakuna mtu asietaka kutajirika chiz wew..hv unajiangalia kwel unaandika nn.pengne nabishana na chiz..unaesh nyumban na wazaz huelew kitu.ugali hujui unataftwa vp
 
Mimi nawakubali hao vijana wenzangu sana zaidi ya sana, wana dreams na wanazifanyia kazi katika mazingira magumu mnoo.

Inauma ukiangalia creative and service industry ya bongo katika top management wamejaa wageni tu tena kwa vitu na skills ambazo wabongo tukikaza tunaweza.. ila hata wanaokaza wanaonekana vituko


Nasema tu tusiogope kuwa broke, kutokueleweka ama kudharauliwa. Ni part of process wandugu..
Chukuen mifano ya matajir waliwazunguka vijana..msipoteze muda..mi mwenye nmesoma madude hayo hayo ila nimekuja ona yanapoteza muda tuu.njaa kal.majukum yanakusubir..ingekua hyo ni hela africa bas bakhresaa na mo wangewekeza huko.lakin wanajua application yake ni ndogo snaa Tz na haina tija
 
Mtoa mada njoo weekend hapa Silicon Dar kuna mgahawa unaitwa Startup Restaurant nakuwa na wenzangu tukiDiscusa mawazo huku tukipiga Coding kukamilisha Apps zetu.

Tunakula ma Juice ya takeaway na ma pizza ya kutosha life la Tz lishakuwa kama marekani tu mbona unataka kujitesa.

Kariakoo= New York
Kigamboni= Miami Florida
Kijitonyama = Sanflansisco
Sinza = LosAngels
Posta = WallStreet

Utachagua unapenda nini wazee wa startup tumechagua kijironyama.
Endeleen kudiscus..
 
Hakuna mtu asietaka kutajirika chiz wew..hv unajiangalia kwel unaandika nn.pengne nabishana na chiz..unaesh nyumban na wazaz huelew kitu.ugali hujui unataftwa vp
hahaha nachojua ni masikini pekee kama wewe ndo wana mawazo ya kutajirika.... alafu acha kulalamika wewe kama mtoto wa kike...usipende kukaa na wanawake ww mtoto wa kiume ona sasa unavyotukana kama wale malaya wa msasani.....acha umama usipangee watu maisha little man...just live your goddamn life and mind your own goddamn business black being....
 
Mkuu mim nmefkia hatua ya kutoa mikopo kwa startups unasemaje wew..mim napokea project proposals zisizotekelezeka.na kila siku tunawaasa vijana..kua kwa mtazamo huo kama wako mtakufa maskin hawaelew..tatzo na wew bado ni kijana hujui kitu.ila ukikua na kujipanua na kufanya kwel utakuja amin kua hao vijana wanapoteza muda tuu..afirca hatujafika hatua hyo sanasnaa tz...ukikua utanielewa.sasa hvi bado una illusions tuu
waache vijana wafanye wanachotaka kama ww yamekushinda basi kojoa ukalale na sio kulisha watu opinions za kilevi....ww umeona kipofu anamuongoza kipofu...
 
hahaha nachojua ni masikini pekee kama wewe ndo wana mawazo ya kutajirika.... alafu acha kulalamika wewe kama mtoto wa kike...usipende kukaa na wanawake ww mtoto wa kiume ona sasa unavyotukana kama wale malaya wa msasani.....acha umama usipangee watu maisha little man...just live your goddamn life and mind your own goddamn business black being....
Tatzo umeambiwa ukwel ndomnaa umebak kusema tukuache na maisha yako..haya bas ngoja tukuache
 
Back
Top Bottom