Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Kuna wimbi kubwa la vijana wanahangaika ni kudevelope ma idea ya project kubwa kubwa za kidigitali na ki technolojia mfano.
1. Sijui app ya alarm sjui ya nyumbani ukiwa kazini mtu akifungua mlango unapata notification.
2. Mara program ya visima vya maji umwagiliaji.
3. Mara program ya nini sijui etc etc etc
Vijana wenzangu hizi technolojia na the likes kwa nchi kama yetu hii utasubiri sana kwa mwekezaji kuweka hela... vijana wengi mnajikita kwenye biashara ngumu ngumu kiukweli niwambie hizo hazina helaaaa. Africa bado sana
Jikiteni kwenye mambo ya kawaida tu...usiumize kichwa snaa .. we unamwona Bakheresa au mo biashara zao... wanauza viberiti, unga, juice etc
Nenda Kariakoo uone matajiri wafanyabiashara wanafanya nini wanauza vitu vya kawaida kabisa.
Kilimo etc etc.... buy and sell vitu rahisi rahisi tu ... sasa mtu unahangaika weee... daah.
Kilichofanya niandike uzi ni kwamba nina ndugu yangu anamaliza chuo... nimemwambia anipe mchanganuo wa biashara nimpe mtaji yaani unaenda mwezi wa sita huu ananipa michanganuo ya ajabu ajabu hadi nauliza amerogwa nini.
1. Sijui app ya alarm sjui ya nyumbani ukiwa kazini mtu akifungua mlango unapata notification.
2. Mara program ya visima vya maji umwagiliaji.
3. Mara program ya nini sijui etc etc etc
Vijana wenzangu hizi technolojia na the likes kwa nchi kama yetu hii utasubiri sana kwa mwekezaji kuweka hela... vijana wengi mnajikita kwenye biashara ngumu ngumu kiukweli niwambie hizo hazina helaaaa. Africa bado sana
Jikiteni kwenye mambo ya kawaida tu...usiumize kichwa snaa .. we unamwona Bakheresa au mo biashara zao... wanauza viberiti, unga, juice etc
Nenda Kariakoo uone matajiri wafanyabiashara wanafanya nini wanauza vitu vya kawaida kabisa.
Kilimo etc etc.... buy and sell vitu rahisi rahisi tu ... sasa mtu unahangaika weee... daah.
Kilichofanya niandike uzi ni kwamba nina ndugu yangu anamaliza chuo... nimemwambia anipe mchanganuo wa biashara nimpe mtaji yaani unaenda mwezi wa sita huu ananipa michanganuo ya ajabu ajabu hadi nauliza amerogwa nini.