Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

Mbona mnaanza kujihami mkuu? Au umetishika na tangazo la Mbowe alivyokuwa Muheza juzi?
 
Urais ktk awamu ya 5 umekuwa simplified kwani hata mtoto wa firm four anaweza kuongoza. Nani atashindwa kuvamia bandarini, au airport au TRA au mubimbili au kukemea au kuteua na kutengua Kwa page Moja ya Karatasi etc.
 
Tatizo sio raisi tunampongeza kwa kazinzake lakini huyo anaemkumnatia
 
Karma wenye Bashite wanaongoza itakuwa Chadema?
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Kaka big up umewapasha malofa
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Kimsingi sasa hivi Chadema ndo wanaongoza nchi maana pasipo sisi huyu Sizonje atatuingiza kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe!

Kuhusu kumjua Makonda, mimi nakubaliana na wewe kuwa ni kweli Ngosha 'ANAMJUA' kuliko sisi maana sisi kwanza hatuna tabia hizo maana ni dhambi ambayo adhabu yake ni LAANA na MOTO WA MILELE!
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Hili la kwanza ni ungo lakini la pili ni kweli kwamba rais anamjua makonda kutuzidi!
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Kwanza karibu JF ... pili umeandika post kwa wenge sana.. embu kaa tulia.. uoate chakula cha jion ndio uandike kitu cha maana.
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Lowasa alishawaambia kama wakishindwa kuitoa ccm 2015 wasubiri miaka 50 mbele. Ni ukweli lakini mchungu inabidi wauvumilie tu.
 
kila siku zinapozidi kuenda jf inapoteza mvuto eti huyu Naye ni GT
 
Bila hawa jamaa kumtaja lowasa hawana raha, kuchanganya yupo kimya ndio kabisaa hawapati usingizi na bado, mbona tutaona na kusikia Mengi,
 
A
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Akili ya Ki-Bashite hii
 
Ujumbe huu ungeupeleka kule kwa makapuku wenzio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom