Vijana Mlioko kwenye mahusiano chukueni hii mnishukuru baadae

Wakwangu na mimi kwenye habar ya simu ndo semehu ambayo hatufatiliani kilamtu abaki na simu yake yaan we ata ukishtuka usiku saa nane ukakuta mtu anachati usiulize we kausha geukia upande wapili endelea kulala tunaishi in simple rules
 
Wakwangu na mimi kwenye habar ya simu ndo semehu ambayo hatufatiliani kilamtu abaki na simu yake yaan we ata ukishtuka usiku saa nane ukakuta mtu anachati usiulize we kausha geukia upande wapili endelea kulala tunaishi in simple rules
Tupo tumekaa palee
 
Tatizo kuna watu siku hizi wanaishi kwa mentality za kibinafsi sana. Mtu anaingia kwenye mahusiano na anajua kabisa nikifanya kitendo fulani kitamuumiza mwenzake ila bado atatafuta namna ya kufanya kile kitendo bila wasi wasi wowote wa kumuumiza hisia mwenzake.

Hii ni asili ya kutokujali hisia za mwenzako ili wewe kupata unachotaka. Trust me mtu ambaye hana upendo na wewe basi hajali hisia zako za msingi na hataweza kukupa faraja kwenye haya maisha.

Watu wabinafsi kuwa hawana mwisho mzuri wewe kama umemgundua ana maisha ya ubinafsi mchane halafu malizana nae. Tafuta ambaye anajali na mtakuwa serious na ataweka mbele kwanza maslahi yenu badala ya maslahi yake binafsi au tamaa zake.
 
😂😂😂😂 Kuna watu mapenzi mnayachukulia serious sana..!! Mapenzi ni sanaa inayoendeshwa na wasanii wawili, ukilijua hilo wala hutokaa uteseke.
Totoo,umeanza kuwa mshauri wa mapenzi?🤣
So,kwenye love ni mfano wa msanii gani wewe? A big shot like Angelina Jolie or megan foxx
 
Heheh, watu mnapenda sana kumiliki wenzenu yaani kwa mfano mimi pisi yangu kabisaa mimi niwe wakwake peke yake!!!? Me sitaki awe wangu peke yangu na yeye sitaki niwe wake peke yake.... Let's live tuu mmoja akichoka anaacha.

Mfano juzi tupo out message imeingia kwake akawa anasoma kwa kujificha nikamuuliza "What's wrong" akadai kuna jamaa anamsumbua na ashamkataa ila jamaa king'ang'anizi me nikamuuliza "Huyo jamaa vipi ana hela?" akadai anazo ila kawaida tuu kama mimi, Nikamuambia ampotezee.
Pole sana Kwa kuchoka kuishi



 
Wakwangu na mimi kwenye habar ya simu ndo semehu ambayo hatufatiliani kilamtu abaki na simu yake yaan we ata ukishtuka usiku saa nane ukakuta mtu anachati usiulize we kausha geukia upande wapili endelea kulala tunaishi in simple rules
Tuko nayo hii na Ba tamu wangu.
 
Back
Top Bottom