Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Watu wengi Mnashindwa kuelewaga mambo madogo na mnakuwa Vipofu katika mapenzi kwa kutoona vitu vidogo vidogo. Leo acha niwaambie ishara mbaya kwa mpenzi.
Mwamba/Dada unapokuwa katika harakati zako unawasiliana na mpenzo wako, na hata msipowasiliana basi utamkuta online huko WhatsApp, Instagram na kwingine. Lakini Mkikutana au mnapokuwa pamoja, simu yake haiingizi Notification kabisa na wengine huwa wanaificha uioni, Yaani haiingii akilini hata Notification ya YouTube ulizo subscribe zisiingie jaman.
Hii inatokea kwa mtu ambaye siyo mwaminifu na ana wasiwasi wa mtu kumtafuta au kumpigia, hivyo hataka mwenzi wake ajue simu imeita au sms imeingia muda ngani, ngapi. Unakuta kashawaaga kawaambia amelala au yupo kwa mama.
Tuseme sawa anakuheshimu na anakupa attention lakin ndo hadi notification kweli? mean huna wasiwasi na simu za muhimu yani anakuwa kashajipanga kutokuwepo hewani muda flan.
vijana Redflag sio lazima zikuumize kuna nyingine zinaanzaga kimasihara tu ila badae itakuumiza tu, wasio waaminifu wanaanzaga hivyo hivyo..
Mwamba/Dada unapokuwa katika harakati zako unawasiliana na mpenzo wako, na hata msipowasiliana basi utamkuta online huko WhatsApp, Instagram na kwingine. Lakini Mkikutana au mnapokuwa pamoja, simu yake haiingizi Notification kabisa na wengine huwa wanaificha uioni, Yaani haiingii akilini hata Notification ya YouTube ulizo subscribe zisiingie jaman.
Hii inatokea kwa mtu ambaye siyo mwaminifu na ana wasiwasi wa mtu kumtafuta au kumpigia, hivyo hataka mwenzi wake ajue simu imeita au sms imeingia muda ngani, ngapi. Unakuta kashawaaga kawaambia amelala au yupo kwa mama.
Tuseme sawa anakuheshimu na anakupa attention lakin ndo hadi notification kweli? mean huna wasiwasi na simu za muhimu yani anakuwa kashajipanga kutokuwepo hewani muda flan.
vijana Redflag sio lazima zikuumize kuna nyingine zinaanzaga kimasihara tu ila badae itakuumiza tu, wasio waaminifu wanaanzaga hivyo hivyo..