Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
1. Habari zilizopo ni kuwa, vijana kupewa sare za CCM pamoja na kadi na kuzirudisha katika mkutano hapa Arusha
2. Wapiga debe kupewa mda mrefu zaidi wa kuongea kuliko mgombea Urais hapa Arusha
!
3. Nyumba za wageni zimejaa mpaka sasa Arusha
4. Magari yanayosomba watu kuwashushia mbali kidogo ili isilete picha kuwa wametoka maeneo tofauti na hapo
NB: ViWANDA VYA KUTENGENEZA "VIROBA" na "BANANA" nako kuna habari ambazo hazijathibitishwa....zikithibitishwa zitaletwa kwenu
2. Wapiga debe kupewa mda mrefu zaidi wa kuongea kuliko mgombea Urais hapa Arusha
!
3. Nyumba za wageni zimejaa mpaka sasa Arusha
4. Magari yanayosomba watu kuwashushia mbali kidogo ili isilete picha kuwa wametoka maeneo tofauti na hapo
NB: ViWANDA VYA KUTENGENEZA "VIROBA" na "BANANA" nako kuna habari ambazo hazijathibitishwa....zikithibitishwa zitaletwa kwenu