thomasi_mushi
Senior Member
- Feb 15, 2014
- 150
- 41
kibongo bongo au kinyamwenga???
Wanao haribu maadili ndo hawa sasa kinyamwenga ndo nn?
kibongo bongo au kinyamwenga???
Wanao haribu maadili ndo hawa sasa kinyamwenga ndo nn?
Hivi hao wanaotembea nusu uchi wako wapi?mbona wote nnaowaona wamesitiri nyuchi zao!
Ukiona unakereka fumba macho upite..wengine starehe zetu hizo.
to be honest is TOO LATE
Comment ya taahira hii! Wewe unafurahia kuonesha kinyeo chako? Ipo siku utafanywa hadharani! Jitu unakuta liko chuo kikuu linategemewa kwenda kushika ofisi eti mat.ako nje mpaka ule mfereji unaonekana! Shame on you guys!
itunge sheria za kudhitiUlitaka wizara waje kuwavalisha nguo?
developed nations mfano USA, sasa wabongo nao hawataki kupitwa!
Comment ya taahira hii! Wewe unafurahia kuonesha kinyeo chako? Ipo siku utafanywa hadharani! Jitu unakuta liko chuo kikuu linategemewa kwenda kushika ofisi eti mat.ako nje mpaka ule mfereji unaonekana! Shame on you guys!
we unawashwa na kitu gani? Kuna mambo mengi ya kuhangaika nayo ila siyo mavazi!!
Ulitaka wizara waje kuwavalisha nguo?
Its not a matter of being late!! Hapo Tunapaswa kusema 'it starts with me!'
Una ndugu, mtoto, dada pamoja na ww mwenyewe ...unalichukuaje hili la kuvaa nusu uchi ww pamoja na familia yako?? ....au ndo ulimwengu wa mabata tena watoto mbele wazee nyuma kuburuzwa tu wanavojiskia watoto tunafata??
Kila mmoja anapaswa kujua wajibu wake kwenye kukemea hili..tunauliza wizara wakati tunaishi na wazee 24/7..kwanini tusianze nyumbani? Utakuta Mtoto mdogo kavishwa ka jeans kafupi km chupi anaranda mtaani, kapata wapi ile km hakunuliwa na mzee wake,...halafu sasa ndo mtoto anakua nayo hayo.. akivaa gauni ati mshamba!!