steveson manumbu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 887
- 178
kila siku najiuliza sana hivi kwa miaka ijayo kizazi cha sasa hivi kitakuwaje? kwa sababu kwa sasa kuvaa nusu uchi na kuwa na tabia za ajabu katika jamii imepitidhwa na wizara ya utamaduni muda huo kuna watoto wanazaliwa na wanaendelea kuzaliwa katika mazingira ya tabia hizo, hali hii kwa badae itakuwaje watu watatembea uchi mzima sababu saikolojikale mtoto anapokua kuanzia kati ya mwaka1 mpk nane hii sakolojikale itaathiri karakana ya ubongo wake na yeye kuwa hivyo ndo maana watu mnalalamika lakini imezoeleka. sasa jamii ibadilike tutakimbilia wapi pa kuwalelea watoto wetu?