Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,165
- 5,621
Sawa boss. Nikupe advice ya bure. Tafuta hiyo flaw na uajiri kijana akufanyie kazi. Si una uhakika wa ku make money, why not pay someone else to do work for you and you enjoy the rest of the money? Vijana wapo na ukiwapa dau zuri hata kwa mkataba mtafanya kazi.People make money by finding flaws. A skilled programmer hatakiwi kusubiri ajira. Sijakilalia kitanda lakini nkikiona kichafu najua kitaleta shida. Sio lazima ujichome kisu cha tumbo ndio ujue kama utaumia
Bahati mbaya wakosoaji wengi wa aina yako hawapo fani hii na wala hawana mpango nayo japo kila wakati wanaimba kuwa ina "pesa". Kwa nini hamjitosi na ina ma opportunity mengi? Usiseme kuwa wewe sio fani yako. Hata MoDewji au Bakhresa sio fani zao kutengeneza sharubati!
Kama kuona ingekuwa kila kitu, basi mpira wa miguu ungekuwa mchezo rahisi sana kuucheza.