Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nilikuwa namsikiliza mwana saikolojia alphaxad joel kupitia yotube channel yake
Katika mafundisho yake anasema mahusiano yana nafasi kubwa ya kujenga na kubomoa maisha yako
Hivyo kila baada ya miezi sita unatakiwa ujitathimini
kiuchumi unasonga mbele au unarudi nyuma
Ni vitu gani vya msingi umevifanya tangu uingie ndani ya hayo mahusiano
Katika malengo uliojiwekea kabla ya kukutana na huyu mpenzi wako ni yapi umeyatimiza mpka leo hiii
Je mpenzi wako ni asset au liabilities
Ukipata majibu ya maswali jitathimini
Katika mafundisho yake anasema mahusiano yana nafasi kubwa ya kujenga na kubomoa maisha yako
Hivyo kila baada ya miezi sita unatakiwa ujitathimini
kiuchumi unasonga mbele au unarudi nyuma
Ni vitu gani vya msingi umevifanya tangu uingie ndani ya hayo mahusiano
Katika malengo uliojiwekea kabla ya kukutana na huyu mpenzi wako ni yapi umeyatimiza mpka leo hiii
Je mpenzi wako ni asset au liabilities
Ukipata majibu ya maswali jitathimini