Vijana fanyeni makeke muhamie Latvia, hamtojuta

View attachment 2996465

KAMA ULIKUWA HUJUI...

Nchi ya Latvia ina idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume katika bara lote la ulaya

Wanawake ni asilimia 17 zaidi ya idadi ya wanaume
Yaan kwenye wanawake 117 kwa wanaume 100 hivyo wanawake 17 wanabaki zaid

Na katika chuo kikuu cha Latvia idadi ya wanawake ni mara 2 zaidi ya idadi ya wanaume ( wanawake 100 wanaume 50) hali inayopelekea wanawake wengi kupata ugumu katika kupata wenza wao..... Hasa hasa mwanamke msomi hupata wakati mgumu zaidi

lakini kama ulikuwa hujui wanawake wa LATVIA ndio wana sura nzuri zaidi kuliko wanawake wote wa ULAYA

Na ni wanawake warefu kuliko wote duniani
Kwa kifupi ni wanawake warembo balaa

Je utapenda kwenda kuishi Latvia?
Kuna fursa gani? Uchumi ukoje? Hali ya maisha?
Ajira? Visa?
Achana na kutompa kwanza.
 
Kijana wa hovyo grade one, yaani asubuhi namna hii umeamka unawaza nyabe tu, alafu mwisho wa siku mnalalamika maisha magumu...☹️

Uko sahihi
Tanzania ndio inashika namba moja afrika kwa kutotumia Simu janja kutafuta fursa

Zinatumika tu ku chat mambo ya kibwege bwege tu

Na mitandaoni hawatafuti fursa ni kuangalia ngono na mambo ya kijinga jinga tu
 
.mh hii inaweza kuwa kweli nini? Mimi mwanamke wangu wa kwanza maishani kumpa mimba na hivyo kujijua kuwa rijali alikuwa kutoka Latvia...Ile mimba aliponiambia amepata nikajawa na furaha ajabu maishani...maana nlijua asilimia 100 ni yangu...tulikua tunaishi pamoja...kwa kuwa wote tulikua chuo ..na hakua amejipanga kuzaa tukakubaliana akaitoa......maisha yakaendelea...akarudi nchini kwake nami nikarudi bongo baada ya kumaliza chuo..tulikutana nchi moja ulaya....
 
Hili la Wanawake kuwa wengi kuliko Wanaume halipo tu nchi hiyo ulioitaja. Ni duniani kote ila tunatofautiana idadi ya kupishana. Tanzania yenyewe ina idadi kubwa zaidi ya Wanawake kuliko Wanaume.
Tena ukienda kwenye Sherehe, kama harusi misiba utaona robo 3 bongo ni wanawake. Wamejaa sana bongo.
 
Mkuu unataka kuniambia nitoe kwato zangu bongo nipeleke pumbu Latvia kisa idadi ya madem ni kubwa kuliko masela?Last time I checked bongo mademu wametuzidi Kwa idadi bt it does not rain pussies.
 
Back
Top Bottom