Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 1,902
- 5,162
Kwa hiyo pisi ndio matatizo yote?Hii ni pisi moja matata kweli kweli kwanza kujibu DM sio jambo rahisi sababu kama mnavyojua pisi kali instagram huwa hazijibu dm kirahisi rahisi sabab ya usumbufu wanaoupata kutoka kwa washkaji lakini ukiwa na kibunda kazi inakuwa nyepesi sana.
View attachment 2770126
Watakuja kwa makundi, eti ili upate contact za mtu unaomba account number? Kweli hawa madogo wa siku hizi ni wa hovyo, naishi maisha classic, few nice cars, sio mlevi, sina mambo mengi, nikitaka demu simkosi.
Ndugu wanawake wanapatika vizuri tu.hapo kwenye ukitaka dem humkosi lazima account number ihusike mzee vinginevyo huo ni uongo au labda uwe unakula madem cheap daraja la chini kabisa
Sikulaumu mdogo wangu endelea kukua kwanza.mkuu wanawake hawataki kelele au maneno mengi kibunda ndo solution kama mpka saiv huelewi hili basi wewe bado sana unasafari ndefu
hapo kwenye ukitaka dem humkosi lazima account number ihusike mzee vinginevyo huo ni uongo au labda uwe unakula madem cheap daraja la chini kabisa
So hapo unajiona mjanja...duuh..haya bana ..msamariaSiwezi sema nina hela maana sio bakhressa, ninazo za kunitosha na ziada kidogo ila sitatafutia mwanamke, na hata kama nampa hela simpi ili nilale naye, kamwe!!!
Sijawahi nunua mwanamke, na kuna mwanamke nishampa 1.5m nilimkuta anakusanya mchango wa kukamilisha ada yake ya chuo akiwa mwaka wa 3, nikampa yote mpaka mwaka wa nne, na sijawahi kulala naye.
Sio kwamba ni mgumu, lakini nitoe hela sababu ya tundu, HAPANA!
So hapo unajiona mjanja...duuh..haya bana ..msamaria
Huku wakijua muda wowote wanaweza kukata moto,ni faraja za kitapeli kutoka Kwa madaktari.Watu mnapenda sana kujifariji hapa hakuna mwenye kibunda hizo ni faraja kama wanazopewa waathirika wa ukimwi
Wwka na mengine tuone pesa imekuwaje solution kama title ilivyoelezahuo ni mfano wa tatizo kijana
Siwezi sema nina hela maana sio bakhressa, ninazo za kunitosha na ziada kidogo ila sitatafutia mwanamke, na hata kama nampa hela simpi ili nilale naye, kamwe!!!
Sijawahi nunua mwanamke, na kuna mwanamke nishampa 1.5m nilimkuta anakusanya mchango wa kukamilisha ada yake ya chuo akiwa mwaka wa 3, nikampa yote mpaka mwaka wa nne, na sijawahi kulala naye.
Sio kwamba ni mgumu, lakini nitoe hela sababu ya tundu, HAPANA!
Kuna sehemu nimepita jana usiku kuna vyumba vingi na vyote unanukia udi mtupu. Kuchungulia ndani kila chumba kuna mdada yuko uchi kalala ametega.
Vyumba siyo chini ya 40.
Ni mitaa ya buguruni sokoni! Nyuma kuna vyumba siyo chini ya 40 ukipita pale ni udi unanikia muda wote.Location plz
Ni kweli kabisa fanya mambo yako tu. Vaa vizuri na upendeze, kula vizuri na usiwe na shobo nao yaani automatically watakuchokoza wenyewe.Watakuja kwa makundi, eti ili upate contact za mtu unaomba account number? Kweli hawa madogo wa siku hizi ni wa hovyo, naishi maisha classic, few nice cars, sio mlevi, sina mambo mengi, nikitaka demu simkosi.
Kaka yake shetani unayaongelea mema kwa mwanadamu!????Faida za kibunda
1*laana ya uzinzi
2*magonjwa
3*umaskini pro max
4*no future