engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya tena vijana wa CDM nafasi ndizo hizo nendeni mkapate shule Ujerumani na sio kwenda kujirusha,kwani hii nchi inawahitaji sana vijana wasomi wenye upeo wa kuona mbali na sio kuona mwisho wa vidole vya miguu yako.
Chama cha Christian Democratic Union of Germany(CDU) kimeamuwa kuwapa nafasi hiyo kwa lengo jema tu la nyie kuweza kuongeza elimu ya siasa kwa faida ya chama chenu na Taifa kwa ujumla
kila la heri vijana wa CHADEMA na safari ya Ujerumani
Chama cha Christian Democratic Union of Germany(CDU) kimeamuwa kuwapa nafasi hiyo kwa lengo jema tu la nyie kuweza kuongeza elimu ya siasa kwa faida ya chama chenu na Taifa kwa ujumla
kila la heri vijana wa CHADEMA na safari ya Ujerumani