KAKA YAKO NAPITA
JF-Expert Member
- May 16, 2014
- 1,322
- 233
wanahitajika vijana 200 waliosoma IT pale ofisini kwa Makonda leo hii saa10 jioni kwa ajili ya zoezi la BVR
wanahitajika vijana 200 waliosoma IT pale ofisini kwa Makonda leo hii saa10 jioni kwa ajili ya zoezi la BVR
wewe ni tapeli...
ipe habari yako mashiko , hili hili suala la bvr ni kubwa na kitaifa
imebaki kama week 1 tu kukamilisha uandikishaji dar? labda kama kunakazi nyingine ila hii hapana kwakweli.