Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 962
- 1,909
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar ameyasema hayo Juni 11, 2026 wakati akiwasilisha mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 akidai Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 200 kwa ajili ya Programu ya Kitaifa ya Uwezeshaji Vijana Kiuchumi ambapo hadi Aprili 2026, shilingi bilioni 52.6 zimetolewa kwa ajili ya mikopo ya vijana walioko katika sekta mbalimbali waliokidhi vigezo.