Watu wengine noma. hapo nikipiga bei ya AC pamoja na hiyo Dstv hailingani kabisa na huko juu. Bati chapa simba ni Tsh ngapi? Dstv Je? yaani kaona ni afadhali bati livuje atakinga masufulia kuliko kukosa Dstv na BBA. sasa wa kulaumiwa hapo nani , yeye au serikali? watanzania tunapenda sana starehe.
mimi mwenyewe sina ndio maana sijui kama ni Dstv au lah! anyway asante kwa kunifahamisha.Mdau acha kuropoka,hapo kuna dishi la DSTV? kwa taarifa yako maeneo ya dodoma hasa wilaya ya Mpwapwa bila kuwa na dishi kama hili hupati tv yoyote wala radio pendwa,na hilo dishi ni kama laki 2 tu usitishike